Huyu alileta uzi huu hajitambui. iwe kwa makusudi au katumwa. kifupi amedandia treni kwa mbele.
kitu cha kwanza anachotakiwa kujiuliza ni why current employees hawajalalamika?
why alikubali kustaafu bila kuchukua haki yake kama ipo?
wapi aliwahi kukatwa pesa yake ya mshahara kununua shares?
toka...
kiongozi ,
mi sio mtaalam sana wa mambo haya, ila nimejaribu sana kutumia ttcl 4g. speed yao ni nzuri kama alivyosema mtoa mada ila kiukweli kama unafanya live streaming ni mbovu kuliko hata 3g ya voda. so nadhani kuna relation kubwa sana kati ya ping vs speed when comes to live streaming
jana nimejaribu kuzima laptop nikabaki na display ya tv pekee
nimeona improvement kwa ttcl
hapakua na buffering kama ilivyokua , speed ya 23Mbps na ping ya 132
thanks sana
Ni kweli hua nina display screen zote mbili, nitajaribu kuzima hiyo ya laptop
tv yangu ni full HD , 1080 p
nita confirm hizo spec za laptop nikifika home
ubarikiwe sana.
sawa kiongozi
nitajaribu nikifika home.
kingine, mbona nikitumia laptop kidogo inakua stable, ila nikiconnect hiyo laptop kwenye screen ndo hali inakua hovyo kabisa.
Habari wandugu
Kama kuna mwenye uelewa na hili naomba anisaidie. Hua natumia internet kustream live football match, lakini mara nyingi internet inakua slow sana.
Natumia 4G ya TTCL na hua nikitest speed inakua kati ya 25Mbps (downloading) ping inakua kati ya 37+ ila picha inakata kata sana...
chief hebu nisaidie kidogo,
natumia laptop, ila kodi inatetemeka ile mbaya kiasi kwamba hata siwezi ona chochote.
nimejaribu kuinstall upya bado tatizo linaendelea.
wapi nirekebishe? kodi niliyoinstall ni latest vasion.
Habari wadau,
Jumamosi EPL inaanza kutimua vumbi, DSTV hawashikiki tena kwa bei hizo mpya, kama kuna mtu amepata maujanja ya jinsi tunavyoweza angalia mechi tafadhali tujulishane,
Thanks
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.