Search results

  1. M

    Nyumba zinauzwa

    Nyumba zinauzwa ni mpya, ndio ziko kwenye hatua ya mmwisho< ziko kunduchi skanska-salasa. bei zinatofautiana na ukubwa wa eneo, bei inaanzia 130ml to 180ml. karibuni 0782370200
  2. M

    Nyumba mpya tatu zinapangishwa

    yani laki 9 halafu ziko 3 kwa compound, lol, wakato mbezi beach , kijitonyama laki 6 nyumba ya geti la peke yako
  3. M

    Fremu ya biashara

    Ipo mbezi mwisho, stand mpya, ni kubwa. Kodi ni 250000 kwa mwezi, inatakiwa kodi ya miezi 6. 0754255734
  4. M

    Mbao za Mningaha

    Habari wana JF, nahitaji mbao za mninga zilizojaa vizuri 2*8, kama mtu anazo tafadhali tuwasiliane kwa namba 0782370200.niko Dar es salaam
  5. M

    Milango ya mninga inauzwa

    Mmhh mkuu hiyo bila frem, Dar mbao za mninga huku bei ghali sana ndugu yangu.
  6. M

    Milango ya mninga inauzwa

    Mimi natengeneza milango ya mninga ila bei zinaanzia 450000, bei inaweza pungua kidogo kulingana na idadi ya milango unayoitaka. Picha za chini ni baadhi ya kazi zetu.kwa mawasiliano 0782370200 na 0754255734
  7. M

    Joshking Timber and Woodworking

    Tunatengeneza Milango ya mbao na frem zake, makabati ya Jikoni,na bidhaa zinazotengenezwa kwa mbao, wasiliana nasi kwa namba hizi 0782370200n 0754255734
  8. M

    Gas ya bp

    asante, nilapata pale tangi bovu karibu na petrol station ya oilcom, wanauza gas za aina zote ingawa wamesema bp soon haitakuwepo kabisa.
  9. M

    Gas ya bp

    Habari zenu wana JF, samahani naombeni msaada ni wapi naweza pata gas ya BP kwa hapa dar es salaam? mimi naishi tegeta, kwa anayejua tafadhali anisaidie. bless you
  10. M

    Gas ya BP inahitajika

    Habari zenu wana JF, samahani naombeni msaada ni wapi naweza pata gas ya BP kwa hapa Dar es salaam? Mimi naishi tegeta, kwa anayejua tafadhali anisaidie.
  11. M

    Natafuta mfanyakazi wa ndani(house girl) mshahara mnono

    yeye angekuwa wa kwake ana alama hizo angemruhusu akafanye kazi za ndani?
  12. M

    Nyumba ya kupanga karibu na St Joseph Sec School

    mimi nahitaji kuiona hiyo nyumba no zangu 0754 255 734
  13. M

    Nyumba ya inapangishwa Mbezi Juu

    kaka weka no ya simu tafadhali!!
  14. M

    Kwa yeyote anayetaka machine ya aina yoyote ile tuwasiliane

    mi nahitaji machine ya kukatia crisps
  15. M

    Anae jua soko la asali nchini kenya

    kaka bado una asaliu???mmi nataka kama lita 300 kwa laki 9.
  16. M

    Nahitaji asali

    Kwa mahitaji ya MDALASINI WA UNGA na ASALI MBICHI,tafadhali wasiliana nami kwa namba hizi: 0754 255 734/0712 259 129 Asali lita1 Tsh10,000 na Mdalasini ni Tsh 2,000
  17. M

    Nauza mayai ya kuku wa kienyeji

    habari wandugu,ninauza mayai ya kuku wa kienyeji, kwa mtu anayehitaji no zangu ni 0712 25 90 21 na 0754 255 734, tray moja ni sh 14000tsh.
  18. M

    Natafuta soko la asali

    ndugu toa basi hata no ya simu ili tuweze kuwasiliana, na pia tusaidie kujibu hayo maswali ya hapo juu yani unauza sh ngapi kwa lita 20 n a ni asali ya wapi???
  19. M

    bajaji inauzwa bei mil 2 na nusu

    mi nataka mpya nitapata kwa sh ngapi??
  20. M

    Kwa wanaotaka magari kwa bei nzuri watembelee hapa

    kuna mtu ana mil 5 je anaweza pata gari nzuri yenye cc ndogo?
Back
Top Bottom