Nyumba zinauzwa ni mpya, ndio ziko kwenye hatua ya mmwisho< ziko kunduchi skanska-salasa. bei zinatofautiana na ukubwa wa eneo, bei inaanzia 130ml to 180ml. karibuni 0782370200
Mimi natengeneza milango ya mninga ila bei zinaanzia 450000, bei inaweza pungua kidogo kulingana na idadi ya milango unayoitaka. Picha za chini ni baadhi ya kazi zetu.kwa mawasiliano 0782370200 na 0754255734
Tunatengeneza Milango ya mbao na frem zake, makabati ya Jikoni,na bidhaa zinazotengenezwa kwa mbao, wasiliana nasi kwa namba hizi 0782370200n 0754255734
Habari zenu wana JF, samahani naombeni msaada ni wapi naweza pata gas ya BP kwa hapa dar es salaam?
mimi naishi tegeta, kwa anayejua tafadhali anisaidie.
bless you
Habari zenu wana JF, samahani naombeni msaada ni wapi naweza pata gas ya BP kwa hapa Dar es salaam?
Mimi naishi tegeta, kwa anayejua tafadhali anisaidie.
Kwa mahitaji ya MDALASINI WA UNGA na ASALI MBICHI,tafadhali wasiliana nami kwa namba hizi: 0754 255 734/0712 259 129 Asali lita1 Tsh10,000 na Mdalasini ni Tsh 2,000
ndugu toa basi hata no ya simu ili tuweze kuwasiliana, na pia tusaidie kujibu hayo maswali ya hapo juu yani unauza sh ngapi kwa lita 20 n a ni asali ya wapi???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.