Search results

  1. M

    Chuo Kikuu bora TZ ni kipi kwa kusomea Uhasibu au Biashara? - ni UDSM, Mzumbe au IFM?

    Mbona unachanganya maada,kwani vyuo vikuu viko vingapi ?chuo kikuu kipo kimoja tu udsm na sasa udom hivyo vingine sio vyuo vikuu.wewe nenda mlimani kasome acha kujichanganya.
  2. M

    Efraim Kibonde amsafisha Rostam

    Jamani kibonde tumsamehe bure .hajui hata anacho ongea
  3. M

    mmmhhhhh

    Hiyo siyo ajabu wala sio kitu kigeni ,kwa mtu maarufu na mwenye hadhi ya raisi wa marekani kufwatiliwa sana .Lakini maisha yao ya ndoa ni sawa kama ambavyo ndoa ilivyo ijapokuwa wao ni watu maarufu tu.
  4. M

    Toyota vx v8

    Hata ungetumia gari aina gani ,swala hapo ni kujua kuwa ajali haina kinga jamani,ni kumshukuru mwenyezi na kumuombaili tuendelee kufuata kanuni za utunzaji na uendeshaji wa vyombo vya moto.
Back
Top Bottom