Watanzania tunawaona wazungu ni miungu watu. Mfano mtu mweusi ukienda kushtaki polisi unazungushwa, lakini mzungu akienda kushtaki mara moja wanafuatilia. Hata pale airport, mimi sijawahi kuona mzungu anakaguliwa.
Kusema wasomi wajiajiri ni ukwepaji wa majukumu wa serikali tuu. Serikali kazi yake ni kuinua uchumi ambao unaleta ajira kwa wananchi. Kama serikali kazi ya kuinua uchumi na kuleta ajira imewashinda, wawape hayo majukumu wengine.
Habarini wakuu
Huyu dada hata kama ametembea nje ya ndoa, kupigwa kama mnyama ni haki kweli. Hii imekuwa ni tabia ya baadhi ya wanaume wengi kuwapiga wanawake wao kama wanapiga ngoma.
Tazama video hiyo namna mwanaume anavyompiga mwanamke kama anaua nyoka.Mi ninavyoona utamaduni wa mwanume...
Kumpiga kofi mwanaume mwenzako ni kumdhalilisha sana. Watoto wadogo na wanawake ndiyo wanapigwa makofi siyo wanaume. Wanaume lege lege nchi hii. Ndiyo maana vigogo wanafanya wanalotaka kwa sababu wanajua fika sisi tumelegea.
Asilimia kubwa ya utajiri wa nchi hii umeshikiliwa na wachache sana yaani ni chini ya 1%. Hao ndiyo wamefaidika na uchumi ulivyopanda. Wengine wengi maisha yao yamerudi nyuma au hayajabadilika sana. Na huko tunakoelekea maisha ya wengi yataendelea kuwa duni maana viongozi wetu hawana sera za...
Usijidanganye mkuu. Kama polisi na FFU wakishindwa kuzima ghasia za siasa, jeshi litaitwa. Sisi hatuko nchi zilizokamaa kidemokrasia ambazo unaweza kusema watawala wetu hawatavuka mipaka ya kutumia jeshi kuzima ghasia.
"My body, whenever I see a black person in the metro, tenses with anxiety, the blogger wrote. Like seeing kids playing near traffic, I fear for them.
Source...
Nimekupata lakini kuna vitu tuna assume ni common knowledge ndiyo maana sijaandika. Mfano kama mwanamke hayuko kwenye siku zake za ovulation hapati mimba. Cha muhimu ni hizo mbinu nilizoandika zina mafanikio kwangu mimi binafsi na kwa wengine wengi waliozitumia.
Ukitaka kupata mtoto wa kiume kuna mbinu lazima utumie. Hakikisha mwanamke anafika kileleni wakati wa tendo la ndoa. Sababu ni kwamba mbegu za kiume (Y chromosome) zinaogelea kwa kasi kuliko mbegu za kike (X chromosome) lakini mbegu za kiume zinakufa mapema. Kwa hiyo mwanamke akifika kileleni...
Faida ya mtoto wa kiume ni kuendeleza ukoo wenu. Watoto wa kike wanaolewa na wanaendeleza ukoo wa waume zao ndiyo maana ni muhimu kupata watoto wa kiume. Kuhusu ni mtoto yupi atakusaidia, hayo yanategemea na malezi. Kama mtoto wako wa kiume umemlea vizuri, atakusaidia sana tuu.
Sasa kodi zao si ndiyo zinaletwa huku kwetu kupitia NGO's, benki ya dunia, umoja wa mataifa n.k.? Pamoja na kwamba tunawakejeli hawa wabeba maboksi, lakini kodi wanazolipa huko wanapoishi zinatusitiri.
Kama Israel ingeshinda, Hamas wasingebakia pamoja na silaha zao. Na jinsi Israel ilivyouwa raia wa Palestine ambao hawana hatia, imejishushia sana hadhi.
Hata mimi najiuliza hawa wanaosema watu wa diaspora siyo wazalendo, walikuwa wapi wakati nchi inauzwa kwa manufaa ya wachache? Kama kweli nchi hii ingekuwa na wazalendo tusingeburuzwa kiasi hiki. Ni kelele tuu za mitandaoni naona au inawezekana ni wale wale mafisadi wanaogopa competition. Teh...
Tuacheni unafiki. Hata sisi hapa mjini siyo kwetu. Wazazi wetu walikimbilia mjini kutafuta maisha. Kama wa diaspora ni wasaliti, basi hata sisi ambao hatuna asili za kizaramo hapa mjini pia ni wasaliti. Maana tumeikimbia mikoa yetu na vijiji vyetu na tusiitwe tena wachaga, wanyakyusa, wahaya n.k.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.