Search results

  1. G

    TANZIA: Col T. N. Mlay (rtd) has passed away

    Wanajamii, napenda kuwajulisha kwa masikitiko kifo cha mzee wetu mstaafu Col T.N.Mlai kilichotokea jana jioni ktk hosp. ya KCMC, Moshi. Marehemu alikuwa maarufu sana kwa wale waliopitia JKT miaka ya 80 na 90 hasa vikosi vya Buhemba na Mafinga. Maziko ni mapema wiki ijayo huko kijijini kwao...
  2. G

    Lowassa sasa kwisha habari yake

    Kama umeishiwa cha kuandika, bora ujitoe nje ya JF.
  3. G

    Magufuli amepoteza mwelekeo wa kampeni za CCM?

    Tusubiri matokeo ya kura za October 25th ndio tutambiane hayo maneno ya kuwa nani bingwa.
  4. G

    Team Lowassa kutoka CCM kwa kubaki CCM tupo smart

    Futa kauli hizi za kichochezi. Si busara kuhuhukumu bila ushahidi. Mlitaka atoe siri za baraza la mawaziri ambazo alikula kiapo kutotoa? Jamani, angalieni ukweli uko wapi! Maamuzi walifanya wote lakini Edo wa watu anahukumiwa bureeee!
  5. G

    Bosi wa EWURA akutwa amefariki hotelini

    Never ever try committing suicide. Mungu akuepushie hilo balaa. Huyu ndugu inaonyesha mazingira yote kauliwa.
  6. G

    Bosi wa EWURA akutwa amefariki hotelini

    Na alipitia JKT. Alikuwa ni mtu shupavu na jasiri. Kwa nini ajiue? Huyu wengi tunaona mazingira yote yanadhihirisha aliuawa.
  7. G

    Bosi wa EWURA akutwa amefariki hotelini

    Huyu Alipitia JKT operation OKOA 1985/6 na alikuwa akijulikana kama kamanda au Corporal (CP). Tuliokuwa naye tunamjua alivyokuwa mtu RAHIM na mkweli. kuna kila sababu ya kuamini kuwa ameuawa na sio kujiua.
  8. G

    Ya Mtwara yapelekea Bunge kuahirishwa hadi kesho; bajeti ya Nishati na Madini yaahirishwa!

    Mchelea mwana kulia.................... Yamekuwa sasa. Tunamuomba Mungu yaishie hukohuko Ntwala maana....!mh
  9. G

    Baraza la mawaziri la mseto ni dawa au mbinu za kisiasa?

    This is not proper. Huwezi kusimama peke yako bila kusimamia kwenye miguu ya chama chako. Na ukumbuke kuwa ubunge ulipatikana kupitia chama na sio mgombea binafsi.
  10. G

    Kuelekea baraza jipya "EVERYBODY MARK THESE WORDS"

    Umepatia. Riz = JeiKei
  11. G

    Madaktari wa hospitali ya Temeke nao WAGOMA

    Nisaidieni. Naona kuna nut loose otherwise why dont you keep mumb? Profession nyingine sio za kisiasa wala wito bali ni kukaza buti for 5 yrs and one more as junior dr. Nyie mnapata degree za 3 yrs mnadharau hata hao wateule? Ngoja uugue ndo utajua what you abused. Sorry for
  12. G

    Kibonde naona sasa akili imeanza kukuingia!

    Mkuu hilo nalo neno. Lazima tukubali kutokubaliana.:A S embarassed:
  13. G

    Kasheshe la Mafuta: Dar kimeanza kuwaka, vituo kadhaa vyaanza kutoa mafuta!

    Wacha kiwake na hili ni trailer, picha kamili bado. Tumechoshwa na ubabaishaji. Wazee hawataki kuchukua maamuzi magumu kwa vile nao ni shareholders au beneficiaries.
  14. G

    Ushauri wa Bure: Wamiliki wa Radio Clouds FM ya Dar es salaam

    :glasses-nerdy:Ndio maana tunatune clouds kwa kuwa sio kila kitu ni kawaida. Asante kwa kuliona hili. Big up :shut-mouth:
  15. G

    Lowassa: Wakimwaga mboga namwaga ugali

    :pound: :pound:Mbona hueleweki mkuu? Uko upande upi?
  16. G

    Ooh Poor NSSF!! - What is this?

    These buggers are sowing the money which comes to them by virtue of being a social security fund. They are trying to make sure they get their percentage cut before the REGULATOR tighten a screw on them. Please regulator where are you? Wakishasink hizo funds kwa dubious deals kama Quality plazas...
  17. G

    Wizi wa kupulizia dawa za kulevya kwenye vipeperushi jijini dar es salaam

    Maisha ni magumu kwa kila mtu, Hivyo tuchukue tahadhari sana kila wakati maana watu wema ni wachache siku hizi. Wamasai wangefungua milango ingekuwaje? Nahisi wangelamba kila kitu. Tahadhari, tahadhari kabla ya hatari ndugu zangu.:hatari:
  18. G

    The Japanese Earthquake and its Aftermath....

    OOOh never seen or heard about such a devastating scenario. Mungu utuepushe na balaa hilo.
Back
Top Bottom