Habarini za mchana ndugu, nimefuatilia kwa makini sana maelezo yenu kuhusu NSSF, na nimekuwa na Interest nayo kwani na Mimi nataka kuchukua mapato yangu, ila tatizo langu ni kwamba muda huo wa miezi sita ni Mingi sana kwangu, kwani nataka kwenda shule nje ya nchi. nataka nichukue mafao yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.