Promising 'maisha bora kwa kila Mtanzania' without knowing how to bring about. Cha kusikitisha na kufedhehesha, ni kuwa huu mzigo si wa serikali, bali wananchi (NOT RAIA - Kumbuka kwa Tanzania mwananchi na raia ni two different things) kupitia kodi za kichwa! wafanyakazi wa serikali jiandaeni...
Natumaini mpo shwari kabisa. Nipokeeni kama mmoja wenu,katika kubadilishana mawazo juu ya kinachoendelea hapa bongo na ulimwengu wote.
Michango kwa ujumla ni mizuri,na ndio nimevutika kuwa mwanachama kabisa.
Asanteni!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.