Wadau tunawashukuru kwa maoni yenu, kama ilivyoandikwa ktk thread hii Tuzo hizi bado ni changa, na mapungufu hayakosekani ila tutajitahidi kwa kadiri ya uwezo wetu kuziboresha mwaka hadi mwaka. Kutokana na hali ya kiuchumi mwaka huu tumeamua kuwa na categories 11 tu, lakini uwezekano wa...
Asante sana kwa kutoa tangazo, ni vyema kutahadhari wadau tunapokutana na virusi. Ukipata tatizo tena usikose kuwasiliana nasi, namba za simu na email zipo ndani ya tovuti yetu.
Pamoja
Unatumia antivirus ipi maana tumetest na antivirus nyingi na tovuti halina virus. Naomba u-clear cache yako pamja na Temporary Internet Files ili kufuta zile fiels za zamani, nadhani inaweza kusaidia.
Tuna uhakika 100%, tumehama na kuongeza uwezo wa server pamoja na kubadilisha na kuboresha mfumo mzima wa tovuti. Kwa nini tutake kuharibu PC zenu? Bila nyinyi tovuti halina maana
Tunapenda kuwafahamisha wote kwamba swala la virus iliisha muda mrefu na sasa bongo5 ina sura mpya. Msisite kuitembelea, na kama ina tatizo yoyote msisite kuwasiliana nasi.
Asanteni sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.