usiombe uwe na uwezo mdogo wa kutazama mambo. Waarabu walikuwa vinara wa biashara ya utumwa EA hilo halipingiki. Ila ukiwapata watetezi wao wako tayari mwaafrika mwenzao aangamie kuliko Mwaarabu. Nakukumbuka kisa kimoja cha mgogoro wa DAFUR. Maadamu alikuwa anaua ni Mwaarabu hakuna wanazuoni...
Hakika tu wapitaji ktk ulimwengu huu. Sisi tu mavumbi na mvumbini tutarejea, maana tulitwaliwa huko.
Msiba hauzoeliki, poleni wafiwa.
Bwana alitoa na bwana ametwaa jina la bwana na libarikiwe
WAZANZIBARI WANYAMEZE KIMYA KUEPUSHA MIGOGORO ISIYO NA MAANA:target:
WAPOTOSHAJI KWA UMMA WAMEANZA TENA. NANI KAWAZUIA WAISLAMU KUWA NA MAHAKAMA YAO YA KADHI. HAKUNA BWANA. NANI KAWAZUIA KUFANYA IBADA YAO NJEMA KWAO, JIBU HAKUNA.
MBONA MAKANISA YANA MAHAKAMA ZAO, ZENYE MAJINA TOFAUTI--FUATILIA...
nashangaa tena nitaendelea kushangaa ndg. zangu kuona Machauni wa watu, aliyepewa nafachi na MKULU WA NCHI, anaachishwa uleadership hivihivi, wajameni Chi Chi eM wamemuonea Machauni, wajameni, mbona huko Chi Chi Em kufoji ni kitu cha kawaida tu. Basi hata wale wabunge wake walio foji vyeti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.