Kishoka sasa amesomewa mashitaka mawili katika mahakama ya hakimu mkazi Bukoba kwa kutishia kumuua meneja wa Tanesco na kujifanya afisa usalama wa shirika. Kakutwa na nyaraka nyingi za maombi ya kazi na ya umeme. Inasemekana kafika hapo baada ya kunyimwa ushirikiano na meneja wa sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.