Search results

  1. S

    Mambo muhimu ya kuwa nayo ili uendeshe kampuni yenye faida,tija na ufanisi hapa Tanzania

    Habari wana jukwaa hili. Naomba kujua ni mambo gani ambayo unapaswa kuyaeka sawa kwa wakati wa mwanzo kabisa wa kuanzisha biashara(Yenye mfumo wa kampuni), ili iweze kuleata tija, faida na uendelevu kwa miaka ijayo mbele. Hili nikimaanisha namna ya kuandaa hesabu zako kwa ajili ya kodi...
  2. S

    Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

    Huu uzi ni noma sana. Ndio kusema kiwa ndoa haziko stable hivi ? Kazi kwl kwl
  3. S

    Nahitaji mume Muislam aliye-serious na ndoa

    Hutaki kuolewa mke wa pili?
  4. S

    Ni tukio gani hutalisahau katika malezi ya mtoto kuanzia age 0?

    Matukio mawili yanahuzunisha 1. Dogo alivyofikisha wiki tatu tu, tangu azaliwe akaanza tabia ya kulia usiku. Alikuwa anaanza kulia saa nne hadi saa Saba usiku kila siku hadi alipofikisha miezi sita. Ilikuwa inahuzunisha sana. Tulikuwa tunabembeleza nyumba nzima, kuanzia mama, baba, dada wa kazi...
  5. S

    TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

    Huku Zaznibar ndio kabisa. Ukishuka boat hakuna lolote, zero mnara. Hakuna internet kabisa. Yaani ni km unaingia nchi nyingine, kumbe kote ni nchi moja kimuungano [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847] Sent using Jamii Forums mobile app
  6. S

    Fursa za kipindi hiki cha janga la Corona

    Ni Idea nzuri. Tatizo lipo ktk gharama za ku run a/c ya fedha za kigeni, na hasa US dollars. Kuna gharama kubwa mno, kiasi ambacho uki convert kwa T.sh unaeza ukatamani uzitoe zote Sent using Jamii Forums mobile app
  7. S

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kwa leo ni hapa...J2 njema Sent using Jamii Forums mobile app
  8. S

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Limeishia hapa 12411.....bado nitaendelea Sent using Jamii Forums mobile app
  9. S

    Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

    Kwa nn unatoka tahadhari kuwa watu wasikope? Hata kwa mtumishi ambaye ana mshahara wake nae asikope? Ili ajitafutie kipato cha ziada? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. S

    Fursa kwenye sekta ya elimu. Walimu tunakwama wapi kutengeneza hela kubwa?

    Dah....si ya kuchekesha...ila pole sana . Pole mnoo mdau Sent using Jamii Forums mobile app
  11. S

    Mbunge wa Kawe, Halima Mdee akutwa na hatia ya kuunga mkono kauli ya CAG, afungiwa mikutano miwili ya Bunge

    naiona tanzania ya viwanda inakuja kwa kasi. Sasa kma bunge litashindwa kufanya kazi na CAG, inaamana zile trillion ndio zitaongezeka sasa?zile za 1.5 ?
  12. S

    Sina hisia na mwandani wangu

    kuna kipindi nilijihis nasema sana hadi nikajiona napoteza nguvu zangu, Kuhusiana na issue za kufanya kazi ndani. Naomba nitoe mifano ifuatayo, Na nilikuwa nafanya hivi just tu kwa kumuelewasha na sio vinginevyo; 1. Nilikuwa nina tabia ya kwenda mwenyewe sokoni, kwa hapa Dar yy sio mwenjeji...
  13. S

    Sina hisia na mwandani wangu

    Ni mvivu balaaa. Kuna kipindi alisumbuliwa na goti, Dr akashauri kuwa kwa kuwa ana uzito uliozidi na magoti yana acid nyingi, ikashauriwa kuwa apunguze vitu vya mafuta na uchachu. Pia aanze mazoezi mepesi ya kutoka jasho kwa ajili ya ku boost metabolism. HADI LEO HII NOTHING HAS BEEN DONE...
  14. S

    Sina hisia na mwandani wangu

    Kupunguza intimacy ni effects ya results ya kitendo vyake kwangu. Km yasingetokea haya, nisingefika huko Sent using Jamii Forums mobile app
  15. S

    Sina hisia na mwandani wangu

    Age difference ni 6 years. Nilikuwa namueleza juu ya changamoto za maisha na misingi ya kuishi " sustainable life". Lkn uelewa wake ni mdogo, angalau km ni degree holder Sent using Jamii Forums mobile app
  16. S

    Sina hisia na mwandani wangu

    Km ningeyaona nisingefika huku mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  17. S

    Sina hisia na mwandani wangu

    Taken into account. Ila km intimacy imepungua nitaweza fanya hivi kwl? Imefika hatua ule ukaribu haupo kbs kutokana na matendo yake Sent using Jamii Forums mobile app
  18. S

    Sina hisia na mwandani wangu

    Sio povu. Ni maumivu niliyonayo moyoni juu ya hili jambo. Ushauri wowote mm naukubali tu. Haina noma Sent using Jamii Forums mobile app
  19. S

    Sina hisia na mwandani wangu

    I I ws thinking of divorcing her.....! Lkn namuonea huruma sana mwanangu, with that kind of woman, he will not live the way I want to prosper in his life. Naumia mno na hii kitu, kwa kuwa napenda mtoto pia. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom