Chama cha Demokrasia na Maendeleo Siha,Kimetoa taarifa kwa wananchi kwamba hawatashiriki katika Maadhimisho ya Kumbukumbu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius K. Nyerere.
Katika taarifa hiyo imeeleza sababu za wao kutokushiriki. kutokana na Watoa Mada kutokuwa na Sifa ya Kumzungumzia Baba wa Taifa...
Vita ya maneno kati ya Mkuu wa Wilaya ya Siha Dr Mlingwa na Mh Dr Mollel Mbunge wa Siha imezidi kuwa ya kali,kututokana na kila upande kujibu mashambulizi,Akichangia mjini Dodoma Mh Dr Mollel alimutumu mkuu wa Wilaya kuwa ni mlevi hivyo akimuomba raisi amuondo Mh Mollel aliliambia Bunge Mh...
Mwenyekiti wa Kitongoji cha Muri kata ya Kashashi jimbo la Siha,Ndugu Godbless Mbonika amevamiwa na vijana wa ccm na kujeruhiwa Muda huu.
Tukio limetoka katika kijiji cha Kirisha ambako ndugu Mbonika alivamiwa akituhumiwa kwamba amezui watu wasifike kwenye mkutano wa Mbunge wa CCM Naibu...
MOSHI VIJIJINI INANIHITAJI - MALISA.!
UTANGULIZI:
Kwa takribani miaka 10 sasa jimbo la Moshi Vijijini limekuwa "iddle" kutokana na kukosa mbunge wa kulisemea.
Mbunge aliyepo Dr.Cyril Chami aliteuliwa kuwa Naibu Waziri na baadae Waziri muda mfupi tu baada ya kuchaguliwa (kabla hajaachwa nje...
Sophia Mwakagenda ameanza ziara ya kumkombowa mwanamke katika jimbo la Rungwe Magharibi
Picha za Mapokezi ya Sophia Mwakagenda akipokelawa na kutoa zawadi katika vikudi vya kinamama Rungwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.