Search results

  1. D

    Sioni faida ya kalio kubwa kitandani

    Sijakuelewa una maana?
  2. D

    Wanaume wanapenda kwa vipande sio kitu kizima

    Wanapenda matunzo. Ukizubaa unatunziwa. Na ujue hakuna cha bure.
  3. D

    Wanaume wanapenda kwa vipande sio kitu kizima

    Hiyo haikuhusu. Keshawaambia ukweli. Ukubali ukatae ndo ukweli. Nampenda sana huyu mama
  4. D

    Sioni faida ya kalio kubwa kitandani

    Sa iyo itakuwa kuchorana. Siwezi tuma picha humu. Afu mi mke mtu hata mume wangu alikuwaga humu sema siku hizi hapendeleagi tena mambo ya JF ni kama ameachana nayo hata simwonagi akiyasoma tena.
  5. D

    Sioni faida ya kalio kubwa kitandani

    Sasa je. Tumbo la chini liko ka mviringo flani afu limeenda mbele hivi kidogo lakini halijashuka. Tako mwenyewe najikubali, liko vizuri.
  6. D

    Mtu na shemeji yake wanapoangalia Filamu ya Ngono...

    ukute ndio umeshaanza kulegea kwa wiki mke unampa kamoja ka taaabu yani ka kutafuta na tochi. Halafu hapohapo umemletea damu changa ndani. Unataka afanyaje.
  7. D

    Sioni faida ya kalio kubwa kitandani

    Mi nna kitambi flani cha kishkaji na kalio la ukweli. Sema hapo
  8. D

    Sioni faida ya kalio kubwa kitandani

    Sema sizitaki mbichi hizi! Hujakutana na chura lililofundwa mbona ungejiapiza umechelewa wapi. Aliyepata kapata aliyekosa pole yake Hata mimi nimejaaliwa mashallahu na faida yake naiona na wenye kuijua faida na matumizi wanafaidika kupita maelezo. Pole kwa kukosa kalio. Pole weeeeee!
  9. D

    Mtu na shemeji yake wanapoangalia Filamu ya Ngono...

    Walikuwa wanapashaaaaa! Kuna rafk ake mista alimfumania mkewe laiv anapelekewa moto na mtoto wa kakake yani aliepaswa amwite mamdogo. Alimkuta chumbani kwa huyo dogo. Unamkabizi fisi bucha kwa kujiamini na nini
  10. D

    Natafuta mke wa kula naye uzee

    Tulia ulee wajukuu usitake kuwasababishia wenzio kesi za mada bureee! Yaani babu miaka hiyo tutawezanaaaa? Au ndio mwendo wa vumbi la kongo ukatufie vifuaniiii!
  11. D

    Wanaume wanapenda kwa vipande sio kitu kizima

    Umenifurahisha sana, Allah akubarikie mamaangu. Hivi inakuwaje watu wengine wasomi kabisa lakini hawajui kuwa mwanaume akikupenda wewe kwa sababu ya digirii yako na ingilishi yako huyohuyo atampenda mwengine kwa sababu ya mahabbat. Na huwezi kupewa vyote kwani we nani. Mwenyezi Mungu ndiye...
  12. D

    Kudanga ilikuwa zamani

    Hesabu ya danga inapigiwa mbali kama mchezo wa bao. Na siyo ya vitu vidogovidogo. Enzi zile watu walichuna mabuzi unaambiwa buzi likilengeshwa laelekea lenyewe kibla. Lachunwa kwa ganzi, ni taratibu hadi kwenye mfupa hata wengine wakiwambia mwenyewe asema acheni kunionea wivu mwenzenu nala...
  13. D

    Kudanga ilikuwa zamani

    Sema ulikuwa unanunua machangu kona bar
  14. D

    Kudanga ilikuwa zamani

    Machangu tu
  15. D

    Kudanga ilikuwa zamani

    Kwani na wewe unataka?
  16. D

    Kudanga ilikuwa zamani

    Eti siku hizi mnasema kuna wadangaji? Hawa wa chips mishikaki na bando la buku? Mtu unadanga bado unazidi kuchakaa si uache?
  17. D

    Una cheti nina mume

    Ndoa ipi? Cheti tu anaringia. Na hakimsaidii. Kila siku mikelele tu huko anakokunywa mipombe na mashangingi wenzie wa kwenye masemina na warsha. Na sasa anko M alivyozipiga panga hizo makongamano mbona mishauo kwishneeeee!
  18. D

    Una cheti nina mume

    Umeonaeeee!
  19. D

    Roho mbaya haijengi, upendo ndiyo msingi wa amani

    Kuna jitu nalijua lina roho mbaya ka nini lingeijua hiyo dawa lingeshaituma kwangu
Back
Top Bottom