Sa iyo itakuwa kuchorana. Siwezi tuma picha humu. Afu mi mke mtu hata mume wangu alikuwaga humu sema siku hizi hapendeleagi tena mambo ya JF ni kama ameachana nayo hata simwonagi akiyasoma tena.
ukute ndio umeshaanza kulegea kwa wiki mke unampa kamoja ka taaabu yani ka kutafuta na tochi. Halafu hapohapo umemletea damu changa ndani. Unataka afanyaje.
Sema sizitaki mbichi hizi!
Hujakutana na chura lililofundwa mbona ungejiapiza umechelewa wapi.
Aliyepata kapata aliyekosa pole yake
Hata mimi nimejaaliwa mashallahu na faida yake naiona na wenye kuijua faida na matumizi wanafaidika kupita maelezo.
Pole kwa kukosa kalio. Pole weeeeee!
Walikuwa wanapashaaaaa!
Kuna rafk ake mista alimfumania mkewe laiv anapelekewa moto na mtoto wa kakake yani aliepaswa amwite mamdogo. Alimkuta chumbani kwa huyo dogo.
Unamkabizi fisi bucha kwa kujiamini na nini
Tulia ulee wajukuu usitake kuwasababishia wenzio kesi za mada bureee!
Yaani babu miaka hiyo tutawezanaaaa? Au ndio mwendo wa vumbi la kongo ukatufie vifuaniiii!
Umenifurahisha sana, Allah akubarikie mamaangu.
Hivi inakuwaje watu wengine wasomi kabisa lakini hawajui kuwa mwanaume akikupenda wewe kwa sababu ya digirii yako na ingilishi yako huyohuyo atampenda mwengine kwa sababu ya mahabbat. Na huwezi kupewa vyote kwani we nani. Mwenyezi Mungu ndiye...
Hesabu ya danga inapigiwa mbali kama mchezo wa bao. Na siyo ya vitu vidogovidogo.
Enzi zile watu walichuna mabuzi unaambiwa buzi likilengeshwa laelekea lenyewe kibla. Lachunwa kwa ganzi, ni taratibu hadi kwenye mfupa hata wengine wakiwambia mwenyewe asema acheni kunionea wivu mwenzenu nala...
Ndoa ipi? Cheti tu anaringia. Na hakimsaidii. Kila siku mikelele tu huko anakokunywa mipombe na mashangingi wenzie wa kwenye masemina na warsha. Na sasa anko M alivyozipiga panga hizo makongamano mbona mishauo kwishneeeee!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.