Kitila,Hongera kwa kujitokeza mkuu,toa ufafanuzi juu ya haya;-
*Ni mazunguzo gani yaliyopelekea kupeana vifaa vya ACT ambavyo vilipelekwa Iramba tar 6 mwezi huu na kukabidhiwa kwa mwenyekiti wa CHADEMA kata ya Ndago alietimuliwa na CHADEMA na kuhamia ACT(kwa sasa ndie katibu wa ACT Iramba)...
Makamanda
Jana asubuhi nilileta uzi unaosema(m/kiti cdm mkoa wa singida avuruga uchaguzi iramba)sasa leo naweka wazi mipango yote michafu iliyoandaliwa na Kitila Mkumbo na Shaban Lyimo(m/kiti cdm mkoa wa singida)
Wakati wa kikao cha halmashauri kuu ya ACT kilichofanyikia singida mjini ndg...
NILIWEKA THREAD MBILI((kitila,mwigulu wavamia uchaguzi chadema,,pia uzi usemao m/kiti wa mkoa singida avuruga uchaguzi iramba)) HAPA JAMVINI ZIKILENGA KUTOA TAARIFA JUU YA UHUNI UNAOANDALIWA NA KITILA PIA MWIGULU JUU YA UCHAGUZI WA CDM IRAMBA SASA MATOKEO NDIO HAYA
>Mshindi wa nafasi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.