Tusema ukweli zile peneti angepigiwa chelsea dunia nzima ingeongea kama ile ya dalot ni penati mech ya arsenal gabriel alimdaka kabisa hojlund haikuwa penati sasa ile ya dalot aaaa kituko aiseee ukija ya cucurela nye nye nye
Kwa mpira anaotaka kuufundisha ETH
Diogo Dalot ni mmoja ya wachezaj wanaofaa nawaza kama solskjaer angefanikiwa kumuuza basi timu ingekuwa imepoteza bonge moja la mchezaj
Diogo Dalot
Ccm wakimsimamisha huyo mama chadema wanachukua nchi mapema hata wakiiba kura bado mama hatoboi
bunge dhaifu
Mahakama inatesa watanzania
Umeme shida
Mishahara hamna
Sukar hakuna
Kazidiwa nguvu na mawaziri wake mama hana kauli
Vitu vidogo vimeshinda hivyo vinamfanya kuwa dhaifu sana hana sifa...
Moja ya sekta imefaidi nchi awamu ya sita ni SUKARI
Kwa nini sukari ya Zambia inazuiwa wakati hatuna uwezo wa uzalishaji kiasi kamba mnakomoa raia kwa kigezo cha kulinda bidhaa zetu huku wafanyabiashara wajanja wanfaidika kwa huo mpango kwa kuumiza raia?
Wakiamka wanajikuna kisha wanataja bei...
Hata hivyo inavunjika tena hii ni kutokana na africa mashariki kukosa maraisi wenye akili peke yake rwanda wana mtu ila nae ana kashfa za kuua na kuteka hii inamfanya atoke kwenye kundi la watu wenye akili kwa sababu anachojenga leo kitabomolewa chuki haifi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.