Halafu mama yake akilipwa tu anasahau moja kwa moja! watanzania ni wabinafsi tu, kinachomfanya mtu aichukie ccm ni shida za kwao tu, kama kwao mambo ni mazuri hataona umuhimu wa kujua wengine wanataabika vipi.
Halafu kikabila kuna koo zao au familia ambazo hazina watu jeshini au wapo wachache, lakini unaweza kukuta koo vijana labda 50 wote wapo au wanataka kwenda jeshi, na unakuta hawataki kazi nyingine, hao watu nawapata vizuri.
Amemaanisha katika wingi wao, ukichukua askari wote kutoka kabila la mwamunyange, mahita, kova na komba hawawezi kufikia hata nusu ya idadi kamili ya askari waliotokea mkoa wa General waitara, hao watu wanapenda jeshi na ndio kipaumbele chao cha kwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.