Kurekebishana kupo na kwakuwa umelirudia hilo neno kuanzia kwenye heading na content ina maana hulifahamu naomba leo nikufahamishe mkuu
THAMANI sio DHAMANI
Najua sitakukwaza ila nitakuwa nimekusaidia
Lowasa anachukiwa na ccm kama CCM wanavyoichukua chadema. Kwa ufupi CCM hawahitaji suluhisho la maisha magumu Tanzania ili waendelee kupitisha madawa yao ya kulevya
Ila bado wako chini, ngoja kesho nikapate line yao hawa VODA wanaua sana, Tigo ndo kabisa wanakupa gharama nafuu lakini ukipata net unanyoosha mikono kushukuru
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.