Ndugu tangu lini mtu akatangaza mali ya kupora? Hayo makanisa ni full wizi na utapeli tu. Mchungaji mkewe na watoto ndo heads of the kanisa waumini nao hawahoji kitu ila akili zao zimeganda kwenye kutoa tu au eti kupanda ili Mungu awatendee miujiza. Nk wizi tuu
Lakini jamani siyo kweli kwamba samaki mmoja kioza basi eti wote wameoza, japo kuna wengine hapo Mlimani TV lakini siyo kwamba nao ni kama huyo mnayemlalamikia, mwacheni afe kivyake, na wengine wasafi wanaopeperusha bendera ya Mlimani Tv vizuri tuendelee kuwapongeza ili kuwapa moyo wa kuzidi...
Mtende, kujua Kiingereza siyo uhakikisho wa kuwa na busara wala akili, hapo kwenye tabia za Kiswahili ndiyo umenigusa, mara nyingi watu wenye tabia za Kiswahili swahili hata wasomeje madarasa na madarasa huwa ni punguani kwa baadhi ya mambo, na huyuo bwana ashajamba, avumilie tu ushuzi wake...
Anajipendekeza na kujisafisha kwa serikali yake baada ya kukosa uspika, sasa alivyopata nafasi hiyo anataka kudhihirisha kwamba yuko bega kwa bega na serikali yake kumbe kuvichana vyombo vya habari anaashiria hatari ya kumbomoa kwa sababu ndivyo vilivyompandisha na ndivyo vinavyoweza kumdidizima...
Wandugu wapendwa. Salamu nyingi sana.
Mimi ni mwanachama wa JF kwa kitambo sasa. Nina ombi ninaloomba waungwana mnisaidie. Nimeandika mswada wa kitabu kinaitwa Harakati za Fungate, Lizame Tugawane Mbao. Kitabu hiki kina mambo mengi ya kijamii (sana) kinazungumzia mtu mmoja aliyezaliwa kijijini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.