Pole sana!
Ita mafundi professionals wafanye pairing ya ufunguo na gari yako. Yaani kuufanya ufunguo na gari viwasiliane ama viongee lugha moja. Kwa namna ulivyoelezea, inaonekana ufunguo na gari haviwasiliani. Sijui umepatwa na nini ikawa hivi, but hiyo changamoto ni ndogo sana.
Kila la kheri.
Habari wapendwa!
Karibu nikufanyie data analysis bure kwa mahitaji mbalimbali.
Inawezekana una repoti kazini,shuleni, au chuoni,
Inawezekana unataka kujua ufanisi wa mradi wako kwa kadri ya malengo yako,
Inawezekana una utafiti wako unaufanyia kazi na unahitaji majibu ya swali kuu,
Inawezekana...
Kama uko serious, nitafute. Mimi ninacho pale pale Ikwiriri. Kama unapajua vizuri pale Ikwiriri centre, upande wa kushoto wa barabara kuu kama unatoka Dar kwenda Lindi, kuna vijiji vinaitwa Umwe (Umwe Kusini, Umwe Kati, na Umwe Kaskazini). Changu kiko Umwe Kaskazini, unaingilia pale ilipo bar ya...
Umeandika vizuri Mkuu!
Ila kuna kitu tuliwahi kukubaliana nikaanza, kufanya upande wangu kwa mwongozo wako then nikakutumia kwenye email lakini hukuwahi kujibu. Ilikuwa ni kuandika business plan. Kama uko vizuri niambie tumalizie kazi ile. Nawasilisha.
Kuna watu wachache sana wa aina yako; si rahisi kutukanwa, pengine hata na mtu usiyemfahamu, kisha ukajibu kwa upole na toba. Inawezekana kabisa "Mbingu" ni ya watu wa aina hii. Umenitia moyo sana. Tulio wengi tunalipiza ovu kwa ovu zaidi!
Asante sana pia kumpatia ndugu ushauri mzuri juu ya...
Mkuu, unless hauko serious na unachokisema, sidhani kama una sababu ya msingi kutotoa details hapahapa mpaka utumiwe PM. Kama unamaanisha ukisemacho, sidhani pia kama unafanya bure kazi yenyewe. Naamini clients wanalipia huduma hiyo - na automatically the more clients you have the more money you...
CCM wanapojifunga goli lawama zimwendee nani?
Prudence Karugendo
JUMA lililopita nilionyesha jinsi kanuni mojawapo, katika mpira wa miguu, inavyoweza kutumika vilevile kwenye ushindani wa kisiasa na kuleta manufaa yale yale yanayokuwa yamelengwa na kanuni hiyo katika mchezo wa mpira wa...
Kwa nini kulinganisha Mbwa na Ng'ombe? Umetoa takwimu ya ng'ombe wanaochinjwa kila siku, lakini hujasema ni mbwa wangapi wanapoteza maisha kila siku. Pia ni katika muktadha upi unasema mbwa haliwi? Umesahau ule msemo wa chatu na mbwa? Mbwa pia ni kitoweo kwa baadhi ya jamii sehemu mbalimbali...
Ona huyu naye:
INSTALLING HUSBAND!!!
A woman writes to the IT Technical support
Dear Tech Support,
Last year I upgraded from Boyfriend 5.0 to Husband 1.0 and I noticed a distinct slowdown in the overall system performance, particularly in the flower and jewellery applications, which...
Kufanya kazi ya Mungu siyo mpaka kwenye nyumba za kuabudia. Hongereni sana JF great thinkers. Watu wamemshauri huyu ndugu kwa busara sana na kwa moyo wao wote, nami naunga mkono hoja zao: Kaa mbali na huyo mwanamke tafadhali. Kikubwa tu usije kuwa ulishaharibu then ukaja kutafuta ushauri!!
FYI:
The South African Centre for Epidemiological Modelling and Analysis (SACEMA), in collaboration with the African Institute for Mathematical Sciences (AIMS), is holding a 2 week modelling clinic that will emphasize the use of data in understanding infectious disease dynamics. The Clinic...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.