Hofu, kuhamisha mawazo muda Ukifika, hisia ziko mbali tofauti na wanaume, maandalizi yao si ya papo kwa papo wengi inabidi uwaandae hata siku nzima kwa msg, kumuonyesha upendo, kumchokoza anajiandaa hata kabla hujafika. Ukimuudhi tu km hajalitoa moyoni vigumu kuenjoy penzi hata karne na karne.
Haka ni kasayari kapya tunaishi kamegunduliwa na mfalme na mwanamfalme. Hata namba zake bado sijazielewa natakiwa nizisomaje. Hii ni zaidi ya ccm ileile/mbele kwa mbele.
Kwangu mm namsifu sana Mange kwa anachofanya. Wakatae kumuita the Hero ama wakubali kwangu mimi atabaki kuwa mwanaharakati mwenye nia njema na nchi hii.
Ana uthubutu na hata ukifuatilia comments Za followers wake wapo watu toka nchi mbalimbali wanamsifu kwa jitihada anazofanya.
Km hajui...
Yani tunapoelekea msishangae kuona mwana mpendwa/kiumbe anaanza kuwachapa watu wazima vibao/fimbo hadharani pale wanapokosea Cz hiyo ni sehemu ya majukumu yake na yamepewa kibali
Hili game nalifananisha na mwanamke anayenyanyaswa na mumewe mkoa Mzima unajua na juhudi za kuwasuluhisha zimeshindikana ingawa mwanamke bado anapenda kuendelea kuishi na watoto wake
Ila anatokea mwanamke toka mkoa wa jirani anaambiwa na baba yake mwanangu nenda kaishi naye wewe huyo mwanaume...
Utamu utawauwa wengi c kwa mahaba hayo kwa mwanaume mwenzako anayedhulumu haki Za watu mchana kweupeeee na facts zipo wazi.
Nakumbuka kauli ya mkulu aliyepita wakati anaapishwa alisema Ukipenda kula vya wenzio sharti nawe ukubali kuliwa. Ss vingine vinapalia.
Na shetani akishakuchoka kwa...
Para ya mwisho cjaielewa kabisaaa. Huyo kijana anasema kaisahau namba yake na ya shule alipofanyia mtihani??? Ama kaisahau namba ya shule na ya makonda alipomalizia form four???
Mwandishi naomba uanzie naye hapa aiseee kuna jambo hapa. Km nimeelewa vizuri ni yeye. Haiwezekani kabisaaaaa...
Jmn, mm nilihudhiria mkutano mahala fulan mwaka jana kulikuwa na wabunge wengi tu wa ccm na walipewa nafac kuongea walialikwa km wageni ili waalikwa wengine wapate dondoo mbili tatu toka kwao.
Ss theme ya mkutano huo ilibeba ujumbe kuhusiana na kauli ya mheshimiwa kuhusu uchumi wa Viwanda...
Hv ujue nilikuwa napita hii kitu bila kuisoma nikiwa najiuliza maswali tu kanisa gani linatoza kodi!!!!
Kumbe fungu la kumi ndio unaita kodi Aiseeee angalia Mungu asikuadhibu na pengine hujui maana/faida ya fungu la kumi.
Fungu la kumi limeanzishwa toka enzi za kina Kaini na Abeli. Na ni...
Kwani zile unazopigaga mitandaoni ama kupitia vituo vyenu fake kwa viongozi wenu wa fisiem kumbe nawe huwaga mtoto ama kiroho kinakuuma?? Km mfanyavyo tn kwa uwongo mkubwa ndio linalotendeka hapa in reality kujua mwelekeo wa watu upo kwa nani
Mbona mchungaji hajamsindikiza??? Siku hizi kwa kweli makanisani hasa ya kisasa yanashida sana. Kila kukicha wachungaji wanaibuka na mapya na wanajua sana kucheza na akili za waumini wao na hali ya maisha ya kila siku anayokabiliana nayo mwanadamu. "kweli watu wangu wanaangamia kwa kukosa...
Ss mbona sikuelewi naona acha ujinga....kwani hiyo post uliyonidirect na hicho nilichoandika kina tofauti gani??? Mm nilikuwa namuelekeza huyo aliyewasema wanawake na kumwambia si kila chenye negative impact kwenye jamii kinafanywa na wanawake tu na km n hivyo bac anamaanisha wanawake wote...
Duh! Embu wakati mwingine tuweke siasa chini then tuseme ukweli. Eti Lissu hana sifa hiyo...jmn..umesahau hata madam Spika aliyepita ameshawahi mkalisha chini bungeni mwanasheria msukuma tn si mara moja na kusema "Lissu amka utusaidie hapa ili tuelewe" na Lissu anawashushia vitu tn kwa lugha...
Mcpende kuwarushia tuhuma wanawake kwa kila jambo linaloonekana lina negative impact kwa jamii. Nao ni binadam na wanahisia na mapungufu yao. Mbona mama yako hakukuminya ww hadi umefikia hapo ulipo? So dada zako, mwanao wa kike ukija kupata, shangazi zako na huyo unayemshughulikia taahira asiye...
Mm naona Lisu hana alipokosea kusema hivyo kabisaaaa. Na inaonyesha anawajua ndio n c yeye peke yake viongozi wengi tu wanawajua wenzao huko wanaofanya hayo madhambi na wengine n wafadhili wakuuuu hukooo.
Km Kikwete alikuwa anawafahamu na akatangaza kuwafahamu na alikuwa na mamlaka makubwa sn...
Walau ubwana na utwana umepungua maana kuna watu walikuwa miungu watu, hata km umejamba kwako yy kackia harufu ikiwa inaishia atakupa jambajamba tu tn la kukuchorea nyumba yako X kuwa inahitaji ibomolewe[emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.