Nina kiwanja kimepimwA kina offer kina sq 700 bagamoyo ukuni (ugeni) karibu na barabara na Nina kiwanja kipo mkabala na ilipokuwa kilomo hotel kwasasa ni chuo ...ni pm kwa mawasiliano na maelezo zaidi
Hahahaahahaha ray c na zamaradi na kauye na cabby na neyonce na mwasiti na faudhia na janerose na linah na jaydee narecho na angel duh n.k n.k .nk list ndefu sana ya waliopo kwenye bifu kwa ajili ya bepari RUGEMARILA MUTAHABA
Kwa unayetafuta kiwanja lakini unakumbana na bajet zinazokuwa juu kuliko mfuko wako usiwe na presha! Nauza kiwanja changu kilichopo bagamoyo kiromo...kipo barabarani next to kiromo hotel yenyewe chenye ukubwa wa hatua 20*20 ..unajenga nyumba yako ya vyumba vitatu unatulia...pamejengeka na wala...
Kiwanja kipo barabarani bagamoyo karibu na KIROMO HOTEL.. kina ukubwa wa 20*20 (hatua) umeme na maji vipo karibu na gari inafika mpaka kiwanjani...watu wamejenga (uzunguni)..nyumba ya vyumba vitatu inasimama bila wasiwasi...ni pm au comment hapa for more details.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.