Kwema wana jamvini.
Nimelima miwa ya sukari kampuni niliyokuwa naitegemea wameyumba kibiashara. Naombeni msaada kwa mwenye connection na kampuni au viwanda vinavyozalisha sukari hapa Tanzania nijaribu bahati yangu.
Issue ni mapokeo na tamaduni ila kihistoria haswa kwa ukirsto dini hiyo ilianzia Africa na kuenea sehemu zingine za dunia kuna kitabu kinaitwa "We don't want your white Religion" kimeandikwa na Dr. Bruce Britten ukipata nakala kitakusaidia sana
Jambo hili huwa inategemea na shughuli huskika kwa mfano shughuli za SMZ zote zipo chini ya Raisi wa SMZ ila shughuli zote za Jamhuri Raisi wa JMT ndio boss ila ki-ujumla Raisi wa JMT ndio boss akifutiwa na Makamu wake sababu JMT ndio yenye Tanganyika na Zanzibar
Kumbe hujaelewa tafuta wataalam wakueleweshe kuhusu ripoti ya CAG kwa ufupi sana kumbukumbu za risiti huwa hazipotei (traceability)
Ila katika yote naona hoja yako kuu ni kumtetea mwendazake sasa ungetafuta namna nyingine yenye ushahidi
Sent from my SM-N915F using JamiiForums mobile app
Nimelike alafu baadae nikajiuliza nime like sababu wamejitoa au nimelike sababu hicho kitendo kimelaaniwa na amnest + un au nimelike sababu hiyo habari sikuwa na ijua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.