Kura huwa wanapiga vizuri tu kwa upinzani isipokuwa wale wataaalamu wa kutangaza matokeo, wasiohojiwa na mamlaka yoyote ile ndio kiwazo kwa miaka yote hii. Ukiona ccm wanajisifu kushinda kwa kishindo, basi ujue kishindo chao kiko kwa hao wasiohojiwa na mtu yeyote. Full stop!!!
Mkuu, hayo mabumunda yamejawa na HOFU ya kuwa chama cha upinzani baada ya Uchaguzi huu. Hofu ya umoja na ushirikiano wa ACT na CDM inawakosesha usingizi.
Ni aibu kuwa Jaji ameshindwa ku-itafsiri sheria kwa facts zilizopo mezani. Sijui ni shinikizo au nikilaza, mii sijui. Lakini mwanafunzi wa mwaka wa pili wa sheria Chuo kikuu angeweza kui-apply sheria husika kwenye facts zilizopo vizuri zaidi. Sio hii michosho ya Msajiri.
Japo kingereza chako ni cha shida, omba msaada kwa wenzako urudie kusoma alichokiandika MISSILE OF THE NATION halafu wakusaidie kukuelewesha, ndio urudi hapa. Unachosha na arguements zako za chekechea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.