Search results

  1. S

    Mwakasaka Boaz: Takataka zinaweza kuleta Maendeleo makubwa nchini Tanzania

    Mwakasaka Boaz ni Msomi na Mtaalamu wa masuala ya Uchumi na maendeleo ya kijamii, Nishati Mbadala na Mtafiti wa kujitegemea Anajua kwamba katika dunia hii sababu kubwa na kikwazo kikubwa cha maendeleo ya kiuchumi na kijamii ni kushindwa kufikiri kwa ufasaha (Accurate Thinking). Leo Tuangazie...
  2. S

    Uchaguzi 2020 Paul Makonda achukua fomu ya Ubunge Kigamboni, kupitia CCM

    USHAURI WA BURE KWA WAGOMBEA UBUNGE-2020 Kwanza nichukue nafasi kuwapongeza wote waliojitokeza kuwania ubunge katika majimbo mbalimbali hususani Boazi Mwakasaka mtia nia jimbo la ubungo kupitia SAU- Sauti ya Umma, Mh Paul Makonda jimbo la Kigamboni kupitia CCM, Mchungaji Josephat Gwajima jimbo...
  3. S

    Zitto Kabwe angekuwa Mwalimu wangu wa uchumi, leo ningechoma notes zake zote

    TANZANIA GNI PER CAPITA Lower middle-income economies - GNI per capita between $1,006 and $3,955; eg Tanzania
  4. S

    Hongera Dkt. Faustine Ndugulile, Naibu Waziri wa Afya

    Nashukuru kwa ushauri wa bure
  5. S

    Hongera Dkt. Faustine Ndugulile, Naibu Waziri wa Afya

    KUJIFUKIZA (STEAM INHALATION OR AROMATHERAPY) Kujifukiza (steam inhalation) sio tiba ya corona bali ni njia nzuri sana na sahihi yenye gharama nafuu ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya COVID 19 Kuna hatua mbalimbali ambazo ni lazima zipitiwe kabla havijachimba na kuingia kwenye kuta za...
  6. S

    Hongera Dkt. Faustine Ndugulile, Naibu Waziri wa Afya

    Mambo ya intuition hayo mkuu ni magumu kidogo. wala hayahitaji kusoma vitabu vingi bali kukuza uwezo wa kutafakari na kufikiri kwa ufasaha
  7. S

    Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile atenguliwa, Godwin Mollel achukua nafasi

    Hapana ndugu Valuwhanoswela sitafuti uteuzi wowote natoa mchango wa mawazo kama wanajukwaa wengine. Jaribu kusoma maoni na kuyajadili kama yalivyo badala ya kuanza kubashiri..
  8. S

    Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile atenguliwa, Godwin Mollel achukua nafasi

    Mkuu umenena. huyu jamaa aanaonekana ni "walking encyclopedia" lakini inahitaji akili kubwa kuelewa hili.
  9. S

    Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile atenguliwa, Godwin Mollel achukua nafasi

    Experienced Professional? but lacking common wisdom. Extremely horrible!
  10. S

    Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile atenguliwa, Godwin Mollel achukua nafasi

    ku compomise viral activity? Iwe extracted zipatikane Vaccines? Wakati tayari ana respiratory depression? Medicine ni ngumu sana? Kazi ipo!
  11. S

    Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile atenguliwa, Godwin Mollel achukua nafasi

    Mheshimiwa Raisi Dr John Pombe Magufuli hajakosea kabisa kutengua uteuzi wa Mheshimiwa Faustine Ndugulile kwa sababu -Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inampa mamlaka ya kuteua na kutengua -Faustine Ndugulile hana uwezo na Sifa za kuendelea kuwa katika nafasi hiyo. -Faustine Ndugulile...
  12. S

    Hongera Dkt. Faustine Ndugulile, Naibu Waziri wa Afya

    Kimsingi mkuu Nzelu za bwino, kinyume cha unayosema unaweza kuwa ndiyo ukweli wenyewe wa mambo lakini ni suala linalohitaji akili kubwa zaidi kuweza kutambua hilo. Raisi John Pombe Magufuli hajakosea kabisa kutengua uteuzi wa Ndugulile kwa sababu ukimsikiliza Ndugulile na ukachambua...
  13. S

    Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile atenguliwa, Godwin Mollel achukua nafasi

    Achana na Elimu za kukariri hizo haziwezi kutufikisha popote jadili hoja iliyopo jukwaani
  14. S

    Nafasi wazi za madiwani katika kata 23 uchaguzi Wa Tarehe 16 Septemba 2018

    CHAMA CHA SAUTI YA UMMA -SAU. Kurugenzi ya uenezi na uchaguzi SAU inawatangazia wanachama wote wenye nia ya kuwania nafasi za udiwani kuwa zoezi la kupokea majina ya watia nia litaanza tarehe 13 Agosti 2018 had tarehe 17 August 2018 saa kumi na nusu alasiri. Nafasi wazi kwa mujibu wa tume ya...
  15. S

    Dar: Mbunge wa jimbo la Liwale(CUF) Zuberi Kuchauka atangaza kujiuzulu na kuhamia CCM

    Kuna umuhimu wa kurekebisha sheria za uchaguzi MAANA marudio yatatafuna sana kodi za wananchi kipindi hiki cha hama hama. Tunahitaji viwanda sio wabunge kuhama hama.
  16. S

    Yaliyojiri matokeo ya Mbunge jimbo la Buyungu na uchaguzi wa madiwani kata 36 Tanzania bara

    Mgombea udiwani Wa chama cha Sauti ya Umma -SAU Bw. Isaack Kireti amepamepata kura 2 kati ya 569 zilizopigwa. Africans Mlay Wa Chadema kura 163. Apaikunda Naburi Wa CCM kura 400 sasa NA asilimia 70%. CCM Hoyeee.
  17. S

    Wapita njia wamnadi mgombea udiwani, Kunje Ngombale Mwiru atoa neno

    Kuna Kunje na Kinje wote ni watoto wa kingu
Back
Top Bottom