Search results

  1. masharubu

    Je umewahi kunywa Juice ya karoti + machungwa cheki hapa

    kuna maonesho ya watu wa syria diamond jubilee kuanzia wiki ijayo wanazo wanaziuza hizo machine
  2. masharubu

    Tatizo la uume kupinda (Peyronie’s Disease): Fahamu chanzo na namna ya kutatua tatizo hili

    kaika somo la biology tunaambiwa mimea kama mnazi inpopinda huwa inafuata nishaaati (mwanga, maji, chakula nk) sasa huko kupinda kwako labda inatafuta mwanga
  3. masharubu

    Makunyanzi na mvi vinatishia uzuri wangu

    AHAAAAAAAAAAA UMENIKUMBUSHA HILI SHAIRI, HEMBU TIRIRIKA UJANA Ujana kitu kitamu, tena ni azizi sana Maungoni mwangu humu, nilikuwa nao jana Kwa wingi katika damu, tahamaki leo sina! Nasikitika hadumu, rafiki yangu ujana. Kichwa kimejaa mvi, kinywani meno...
  4. masharubu

    Binti Mariam

    Waswahili wanamsemo wao wanasema mchelea mwana kulia hulia yeye, sasa ngoja tumuoe sisi huyo bint mrembo mariam
  5. masharubu

    Morogoro: Wanaume wafupi kuandamana

    Tatizo hao watu ni wakorofi na pia wanagubu kupitiliza sababu kila wakati wanaona wanadharauliwa kwa ufupi wao
  6. masharubu

    mwanaume akiwa ametoka kudo na nje ya mahisuano utamjuaje?

    Kama unaweza wakati unamuhisi mnusishe ugoro na hii sio kwa mwanume tuu, hata kwa demu akinusa tuu ugoro yale masalia yanatoka chini wakati akipiga chafya kwa wingi
  7. masharubu

    Uchafu: Uwanja wa Ndege wa JNIA na Uongozi wa Eng. Prosper Tesha

    Huyu tesha mnamtajataja mbona mnamuonea?hayupo mwaka wa pili sasa,tufanye uchunguzi kabla ya kuandika
  8. masharubu

    Dawa ya asili ya kiungulia ni nini jamani?

    Pole sana,kunywa asali kila baada ya kula chakula inasaidia sana sana, pia pendelea kunywa maji ya moto husaidia sana kutoa gesi
  9. masharubu

    Meya Jerry Silaa kweli hulijui hili....?

    Kweli umenena tumekua tukimlalamikia kuhusiana na usafi katika machinjio ya ng'ombe ukonga mazizini sehemu ambayo asilimia 70 ya wakaazi wa jiji wanakula nyama kutokea hapo,lakini wapi,hali ni mbaya ni pachafu kupindukia, yaani na mvua hizi hakutamaniki
  10. masharubu

    Msaada mtoto wa miaka minne (4) hapendi chakula zaidi ya chai na mikate

    Wadau naomba msaada mtoto wangu wa miaka 4 na niwa kiume hapendi kula chakula chochote zaidi ya chai na mikate ya boflo.Ukimlazimisha kula kwa nguvu anakula kiasi na baadae anajitapisha. Nilimpeleka kwa Dkr alitibiwa malaria na kupewa dawa za kupenda kula inaitwa PHAMACTIN lakini wapi hataki...
  11. masharubu

    Majimbo haya nayo yagawanywe

    ukonga na segerea haikutokana na temeke bali yote yalikua ni sehemu ya ilala
  12. masharubu

    Tukumbuke timu zetu za mitaani

    NA NILICHOGUNDUA NDUGU WENGI WALICHEZA KATIKA TIMU MOJA ZA MITAA KAMA 1. SAIDI JECK (MAREHEMU) , BAKARI JECK NA HASSAN JECK (MAREHEMU) 2. MBWANA SAMATA NA ALI SAMATA 3. Madaraka na Iddi Seleman Kibode 4. HILAL HEMED NA HAMOUD HEMED 5. WAKINA IBRAHIMU MAGONGO
  13. masharubu

    Tukumbuke timu zetu za mitaani

    Kuna kipindi mtaa mmoja kulikua na timu za upinzani zilikua zikicheza mpaka ulinzi wa polisi uwepo, mfano kinondoni enzi hizo ilikuwepo mesina zikikutana na faru inakua balaa
  14. masharubu

    Naomba ushauri wenu jamani kuhusu huyu mme wangu

    Pole sana, wanandoa wengi nyumbani huwa hakuna goli la kurudia goli ni moja tuu, kuhusiana na swala la mtoto mwende hospital mkapimwe, na pia kama kuna style unazijua funguka kwa mumeona umuonnyeshe pengine mwenzio hana ajualo zaidi ya hiyo ya kidogdog, ila nyumba zina mambo mengi sana
  15. masharubu

    Tukumbuke timu zetu za mitaani

    Wanajamvi leo tukumbuke timu zetu za mtaani jinsi zilivyoleta mchango mkubwa katika soka la nchi hii kwa kutoa wachezaji wa timu za madaraja ya juu na hata taifa mfano 1. Maumau - alitoka ally maumba 2. Super bomboka - hilal hemedi,hamdu hemedi 9marehem), baby sempoli 3. Ibadan...
  16. masharubu

    Tujikumbushe Mabasi ya abiria ya zamani tokea tupate uhuru

    Nakumbuka zamani licha ya kuwa na mabasi mengi ya watu binafsi lakini kulikuwa na mabasi mengi ya vyama vya ushirika, kama tadeco,ushirika masaseni, rombo tupendane nk, ila mabasi ninayo yakumbuka hasa kwa mkoa wa tanga ambayo yalivuma sana ni: 1. Ambiance 2. Katiba 3. Mkaramo 4. Shakila 5...
  17. masharubu

    Misamiati itumikayo vyuoni

    KUINGIZWA CHAKA- Kupewa majibu ambayo siyo sahihi
  18. masharubu

    Breaking new: Prof Mahalu ashinda kesi

    Nani analipa gharama za kesi hii?
  19. masharubu

    TRA na Ukaguzi wa 'fire stickers'

    Bado wizara inayohusiana na mazingira,afya nao watakujakuleta kodi ktk magari muda si mrefu wanajua huna pa kukwepea
Back
Top Bottom