kero zangu ni hizi zifuatazo:
1.wakufunzi kutolipwa fedha za likizo(ubaguzi uliopo kati ya watumishi waliopo chini katibu mkuu na tamisemi kwani hawa wenzetu wa tamisemi kabla ya kuondoka wanalipwa pesa zao tofauti na sisi wa katibu mkuu)
2.waraka wautmishi uliotolewa kwa wakufunzi vyuo mpaka...
Awali ya yote napenda kuipongeza serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzani kupitia cha tawala cha kujivua magamba kwa kutuletea mradi wa maji tena mkubwa katika bonde letu la Mwakaleli.
Pia nitakuwa mchoyo wa fadhira nisipo mshukuru mbunge wetu,madiwani wetu,maafisa watendaji pamoja na...
jamani nadhani huyu jamaa hajui kuwa chdema ni mkombozi wa wa Tanzania ya leo ,kwani kuwaelimisha wananchi kujua haki zao na kuzipigania ni huduma ya kiroho sasa wewe unaesema cdm ni hope less unamtukana MUNGU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.