Habari yenyewe ni kama ilishatolewa siku nyingi halafu mwandishi kai retrieve na kuitoa upya. Maana nashangaa watu inaowa quote k.m waziri Kombani, hivi wame comment leo kwa issue ya iliyopitwa na wakati?!
Gazeti linaeleza kuwa nyongeza ni kwa waraka wa mwezi Julai. sina hakika lakini nahisi si ntongeza mpya ila ni kitu kilishafanyika ila gazeti limeandikwa habari iliyopitwa na wakati. Ni mtazamo wangu.
Umaskini unatupeleka pabaya maana ayo matangazo ni kwa hisani ya wamarekani.Kwa ujumla ninakosa amani na vyombo vyetu vya habari ninapokuwa na watoto au watu ninaoheshimiana nao maana sijui nini kitakuja baada ya muda(unpredictable).
Hivi karibuni Laptop yangu hai detect Sony Camera yangu kwa kutumia USB cable ambapo siku za nyuma ilikuwa ina detect. Kuna picha nataka kuzihamisha. Nimetumia card reader pia lakini sijafanikiwa kuziona picha. Kwenye camera picha zinaonekana. Naomba msaada nifanyeje. Kuna picha nisingependa...
[QUOTE=Jason bourne;
Kutokana na taratibu za kiusalama imebidi tumchukue kwenda nae makao makuu kwa
kinachonishangaza ni kukamatwa kwake! why? Kwa kiyo nikipita kongowe kwa sababu yoyote nitakamatwa pia? Au lazima sababu iwe kukosa sh. 200 ndo mtu anakamatwa. Hivi Magufuli ulikuwa na maana...
Asante sana kwa taarifa hii muhimu sana:
1. Imetuondolea wasiwasi na sintofahamu iliyokuwa imetanda
2. Imefunua mengi hasa juu ya udhaifu wa hospitali ya Agakhan-kwamba pamoja na kurudia vipimo ilishindikana ku detect Malaria!
3. Imeondoa maswali juu ya hospitali yetu ya taifa: kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.