Wabunge wa Mwibara wabishi sana! "Jimamba ninyafu sana"akidi ya mkutano wa kijiji kugawa ardhi nasikia haikuwepo! Viongozi walikula mkwanja kutoka kwa Kangi Lugola akauziwa eneo kwa laki 6 huu ni ufisadi mkubwa sana.
Katika nchi changa kama Tanzania tukianza kuchukiana kwa kulazimisha viongozi wachafu kuchukua madaraka kwa njia ya rushwa hayo ndiyo madhara yake! Kangi alichukua ubunge wa mwibara kwa njia ya rushwa na inasemekana hata hilo eneo lenye utata alilinunua kabla ya ubunge; lakini mpaka hivi sasa...
Jimbo la mwibara mbona linawatu makini sana! Namkumbuka mh.Bahati Mtamwega Mgaywa! Huyu jamaa alikuwa mnyenyekevu sana, na alikuwa karibu na wananchi wake wala hakupora maeneo kama kangi! Nimefuatilia nimebaini huu mgogoro upo kwa chini chini na mbunge ni sehemu ya tatizo wala hakuna mambo ya...
Chama bado kilikuwa na nguvu tatizo liko kwa mkuu wa nchi kutokufanya maamuzi magumu.
Tume ya ya Rais chini ya mwenyekiti wake Jaji Warioba ilifanya kazi nzuri sana inayosifiwa na kila mtu isipokuwa Sitta peke yake.
Namfananisha Warioba kama mtu aliyefyeka pori nene; akang'oa visiki na kulima...
Alichokisema makongoro ni sahihi kabisa maana makundi ndani ya chama chetu yamezagaa. Na mbaya zaidi ni mchakato wa katiba unazidi kutuweka pabaya zaidi. Tusipo heshimu maoni ya wananchi na kujidanganya kuwa nguvu ya dola itatumika kulinda mchakato na masilahi ya wachache kuliko wengi, tutakuwa...
Kwenye andiko lako ulianza vizuri sana ukaja kuharibu pale uliposema ukawa walegeze misimamo yao! Nikuulize kati ya ukawa na ccm nani kaweka msimamo? Ukawa wanaunga rasimu ya pili ya Tume ya Rais iliyokuwa chini ya jaji Warioba. Ccm wanaunga mkono serikali mbili nje kabisa ya Rasimu ya tume ya...
Hawa viongozi wa Chadema ndo walinifanya nijiunge humu jf na leo hii msalani, mwanadiwani wakiniona nachangia wanajua ni mwanachadema kumbe ni sera yao nzuri tu imenifanya niwapende hawa makamanda.
Wakati mwingine mkuu wa nchi anapotamka mambo mazuri ili kukwamua huu mgogoro wa kikatiba tulio nao nchini, nivema tungetumia busara ili ukawa wasijewakakaza kamba ikawa baraaaaaa!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.