Sio kwakujamiiana tu....kwa sisi wanawake inatokana na aina ya pedi tunazotumia sasa ndio imekua chanzo kikuu....na mwanamke anapofua chupi kuanika ndani nayo inasababisha sana usije ukamuacha mwenzi wako bure ukizan anakusaliti
Mtoa mada hapo hatujakuelewa tudadavulie na hapa inakuaje na wakati unasema hujalelewa na mamaako
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1947611/
Ulichoongea ni ukweli mtupu mkuu....acha watu wafurahi kwa sasa lakini muda unakuja tutalia na kusaga meno tukimkumbuka .....hapo ndipo tutatamani afufuke.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.