Search results

  1. baruti170

    Damu 4.2 Baada ya kujifungua siku ya 23

    Umeenda hospital kweli ? .au maabara au duka la dawa. maana hiyo hb yako lazima tukufungie wodini
  2. baruti170

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] izo enzi za magu
  3. baruti170

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    Kama ikivuka kesho ijumaa si ndio inakua ntolee hiyo
  4. baruti170

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    sio walimu tu . tatizo watu wanafeki maisha watu hela hamnaa mtaani
  5. baruti170

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    Kama hali ikiendelea hivi kesho siendi hospitali kabisaa waniache
  6. baruti170

    Hii chelewa chelewa ya mshahara inanipa wasiwasi

    Hamna kituu bado kelele za wanasiasa unaweza ukapigana
  7. baruti170

    Hii chelewa chelewa ya mshahara inanipa wasiwasi

    Muache huyo wa biashara ndogo ndogo anaufala mwingi eti anatuonea huruma qmmae kweli
  8. baruti170

    Hii chelewa chelewa ya mshahara inanipa wasiwasi

    Biashara ndogo ndogo ehh
  9. baruti170

    Hii chelewa chelewa ya mshahara inanipa wasiwasi

    Hali ikiendelea hivi kesho siendi hospitali asee wasinitanie
  10. baruti170

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    ipo siku tutakuja kupigana humu ndani asee
  11. baruti170

    Nimewekewa chuma mguuni nahitaji kutoa

    unajua unaweza ukafa kwenye procedure ya kutolewa hiko chuma ?
  12. baruti170

    85% ya Wauza iPhone hawawezi kukwambia siri hii

    Used from Dubai [emoji23][emoji23]
  13. baruti170

    Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Ruvuma imekuwa ya ndugu wa Madaktari, Manesi na Washkaji zao

    Tatizo mnapenda bure bure sana.kila kitu bure ukiulizwa unaleta siasa hospital ya serikali nendeni bank wakawape pesa bure nazo si za serikali pia
  14. baruti170

    Dawa ya Malaria aina ya Mseto inakera

    iwekewe ladha ya machungwa ?.meza dawa lazima uteseke kidogo usikae kizembe zembe
  15. baruti170

    Ni sawa kwa mjamzito kunyimwa huduma za kuanza kliniki kisa hajaambata na mumewe?

    Usilete siasa kwenye Matibabu .akanyooshe Maelezo ukileta lugha za ukakasi akapime kituo kingine Tanzania kubwa sana vituo ni vingi
  16. baruti170

    Maujanja kwenye simu yako

    mbona haziji hata moja
Back
Top Bottom