pole sn buswelu,but kaa ujifikirie na wewe pia,are treating her right?are you truly and honest to her,then if not,start by treating her like a lady,u will see how she will be,if u think its hard that place,if find another one might be more worse!
Asanteni jaman kwa hoja zeni,ila nimegundua kitu swali halikuwa vzr sana,ila all in all nimeelewa.
Kuna tofauti ya raha ya mapenzi na tendo la ndoa,japokuwa tendo la ndoa liko ndani ya mapenzi,So nimewapata.
duh kwa kweli me mwenyew nlishashinda cjickii kuwa confortabe na kale kamkanda kipita pale katikati,may be mara mojamoja sn.
ila nafikiri sio kwa ajili ya kuvutia sn,kinachovutia ni wewe mwenyewe na sio bikini.
The boss,kama hao wake za watu wanakupa mapenzi zaidi ya huyo wa kwako,lazima utaona wivu tu,jaribu kukaa na galfrend wake muda mwingi na kuwa wazi kwake,unapenda akufanyie nini! O'wise kupenda mke wa mtu au mume wa mtu ni normal,ila solution ni kujicontrol!
Jamani mimi naona mjadala huishie hapa kama ni ushauri niliotaka nimeupata,na nitaufanyia kazi,manake naona sasa naona ckuomba ushauri tu na kashfa pia. NILIKUWA NA MAANA YANGU KUWEKA HII THREAD HIVI ILI NIONE MNATOAJE USHAURI WENU NA NDO MAANA NLIKUWA CJIBU CHOCHOTE.
Nimegundua kumbe ndo maana...
Sasa FL nikijitosa wakati nimeshaona dalili ya mvua ni mawingu,itakuwaje akiingia ndani.Yaani kumuomba Mungu tu tufike salama,na tuwaendee kwa utaratibu coz ndivyo walivyo.
Lakini mbona sioni wanaume wakichangia katika hii mada? naona wanawake ndo wengi na wakati thred hii ni kwa ajiri ya mens hasa?
Nyie wanaume mko wapi? ina maana mnaona hii ni sawa tu.
Jamani hebu jitokezeni mseme kwa nini mko hivo?
Pole sn mpnz,yan mbona me hata naogopa,yan hapa nlipo tu kama boyfrend na girlfrend ni kazi,sasa nikiingia huko itakuwaje?
yan hawa wanaume hawakumbuki hata kama wametoka kwa mtu anitwa mwanamke?,kwanini wasituheshimu jamani?
Mimi nam-appreciate sn mwanaume anayemheshimu mke wake/mpenzi wake...
Inakuwaje wanajf?
Jana nimetoa thread yangu hapa,ninashukuru kwa ushauri wenu,na ninaamini utafanyiwa kazi.
Leo nimekuja na nyingine ila kwa upande wa pili.
Nina rafiki angu wa kike ambaye alikuwa na boyfriend wake kuanzia form five,wamemaliza form six wote huyo kaka akapata sponser ya kwenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.