Hata 1956 haiwezekani sababu itamaanisha kwamba JWTZ walimpa nyota Mwamunyange akiwa na umri wa miaka 17 kuweka rekodi sawa JWTZ ukiwahi sana kupata nyota katika umri mdogo ni ukiwa na umri wa miaka 21 hapa unakuwa umejitahidi sana kuwahi kupata nyota
Mkuu haiwezekani 1959 kuwa ndio mwaka aliozaliwa jenerali mstaafu Davis adolf Mwamunyange, Mwamunyange amepewa nyota yake ya kwanza JWTZ mwaka 1973 batch moja na luteni jenerali Abdurahaman Amir Shimbo
Abdurahman Amir Shimbo na Davis Adolf Mwamunyange wameingia kwa pamoja vyote viwili yaani...
Mikwara na spika ? Tuwe tunasoma kujielimisha
Huyo mama ni genius na nguli wa sheria on top of that ni spika sasa ambao elimu imewapiga chenga lazima watalichukulia bunge poa kimamlaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.