Hii ni siri kali sio serikali. Mbona akili zaidi ni kuweka mazingira salama ya kuepusha hao matapeli wanaowakudia kuwa knock out.. Matokeo yake wananchi wananyimwa haki ya msingi.
Kama kule ulaya viongozi huwa wanalelewa tokea shule kwa watoto wanaoonesha vipaji vya uongozi na uwezo wa...
mbinu za mkuu wa Tume kuanza kutangaza matokeo ya ngome za CCM mwanzo ndio zimekuhadaa??
Cuf imeshashinda kwa ushindi mkubwa sana. BAdili kauli yako hiyo.
latency=delay
latency ndogo hiyo ndio kitu kizuri sana. it means delay ndogo
latency kubwa ndio tatizo.... let us hope umekusudia latency kubwa katika maelezo yako ya hapo juu.
Latency: Latency is delay. Latency is how long it takes data to travel between its source and destination...
kwa nini mtu aliyewahi kufungwa jela haruhusiwi tena kufanya kazi serikalini?? hata kama atabadilika???
fikiria jibu kwa undani zaidi halafu fikiria na skendo alowahi kufanya huyo simba wako alipokuwa ccm na skendo za magufuli alipokuwa huko CCm
mie natumia smadav pekee kwa mwaka wa pili huu sasa. hata sijapata virus wala kupoteza files zangu. muhimu zaidi nilogundua ipo light weight. haiiumizi processor. ipo sawa saaaana
Madhara yapo tena makubwa. ukiwa karibu na mnara radition zinazokupiga ndio zinasababisha cancer. unatakiwa uwe distance ya angalau mita 12 ambapo tunaweza kusema energy yake huwa imepungua. lakini si kila mita 12 utakuwa safe.... no.... inategemea na power ya huo mnara unavyo radiate.
kule...
wengi wetu hatujailewa mada. tumezingatia kichwa cha habari tu tukatoa maoni. sio kama abiria wanapanda humo na kutoa kinyesi ambacho kinawezesha gari hiyo kuenda bali hutumia gesi itokanayo na maji taka , yanachujwa na kutengenezwa bio gas. lina mtundi wa gesi. halina vyoo kama lilivyochorwa hapo
kuna mshkaji akiweka lain ya zantel no problem lakini akiweka airtel tu Gps inaanza kujiwasha na kila ukiizima inawaka. jee is it safe to say that airtel sim card has all to do with this mess???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.