Nimesoma ile shule ya msingi kinondoni. Tumechota maji ya kumwagilia maua ya shule kwenye hilo bwawa. Sikuhizi lile bwawa limekauka... zamani mvua ilikua inaponyesha maji yanajaa, bwawa linaungana na lile la upande wa pili huku nyuma ya mahakama.
Pia, hizi square pipes kama ilivyo kwa chuma zingime, zinakuwa na quality tofauti. Zipo bomba nyepesi na zipo zile ambazo huwa zina mark nene kidogo ( nzito). Hizi nyepesi bei huwa inakua chini kuliko hizo zingine. Sasa ni vyema kujua fundi alinunua zipi.
Hao hawafai, nadhani badala ya ALAF kampuni ya DRAGON ni bora zaidi. Kama yupo aliezeka kwa bati ya DRAGON kutoka kiwandani kwao akapata shida ashuhudie.
Hili jambo mi muhimu sana. Maindi pia huwekwa sumu ya kuzuia yasiliwe na wadudu, bilaa kuyasafisha vizuri kabla ya kuyasaga yanaweza kuleta madhara kwa binadamu.
Niliwahi kununu godoro pale kwenye maonesho ya 77, jinsi lilivyonifanya, maonesho yaliofatia ya 77 niliwafata nikawaaambia ukweli kwamba magodoro yenu hayana viwango, povu likawatoka, nikawaacha hapo nikaondoka. Magodoro ya GSM ni uchafu tu
Hilo daraja ilikua njia ya zamani. Barabara mpya ya Msata imechepushwa na kuliacha hilo daraja kwa mbali.Kidomole, Makurunge na hata Fukayosi naona zinakua kwa kasi. Miaka michache iliopita eka moja hapo Fukayosi ilikua inauzwa laki 4 mpaka 5. Hivi sasa huwa naona matangazo eka moja ipo kwenye...
Pole sana kwa hii changamoto uliopitia. Machache nayoweza kuandika hapa ni haya:
1. Usijaribu kulinganisha utatatibu wa vyuo vingine ( nje ya nchi) na hapa Tanzania ( hasa UDSM). Kila chuo kinaweza kuwa na changamoto zake, na kwa ujumla wake vyuo vya wenzetu huko kwenye nchi zilizoendelea...
Kama naanza kukuelewa, kuna siku za nyuma sana, wakati Bwana Polepole hakuwa akifahamika niliwahi kugongana nad mara kadhaa kwenye ofisi za ubalozi wa Denmark
Kuna siku za nyuma sana, kabla Bwana Pole pole hajafahamika, niliwahi kukutana nae mara kadhaa kwenye ofisi za Ubalozi wa Denmark. Nilijiuliza maswali mengi, sikupata majibu. Sasa ndio nimepata mwanga.
Kwakweli GPA kwa upande wangu imenisadia sana. Katika dunia hii ya ushindani, GPA (kutoka vyuo vinavyoheshimika) ndio kigezo kikuu kinachotumika kukutofautisha wewe mwenye GPA kubwa na yule alieye na GPA ndogo kwenye soko la ajira. Endapo wote mna vigezo vinavyifanana, degree zinazofanana, umri...
Nahisi, yeye anauza 1.5 ni kiwanja ambacho limeshapimwa, maana utakuwa unaptiwa na hati halisi ya Serikali. Pia, vipo karibu kabisa na barabara kuu ya lami. Huyu mdau hapa anauza mashamba, ukishanunua inabidi ulitengenezee mchoro wa matumizi, kisha uanze mchakato wa kupima ili ipate hati ya...
Private sector ni pamoja na individual. Yeyote anaweza kunufaika na utaratibu huu. Ingawa hofu yangu ni kama benki za biashara zitakubaliana na huu utaratibu. Benki zinaweza kuamua kugoma na zishiriki kwenye utaratibu huu, na kupelekea lengo la BOT kutofikiwa. Inaelekea utaratibu huu ulifikiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.