Wadau habari zenu, naomba msaada wenu, hivi huyu mustafa ametumia kitu gani mpaka akapungua kiasi hiki (weight) cuz watu km hawa ndio vioo vya jamii inashangaza kuwa hawazungumzi ukweli juu ya maisha yao as a role model
ninamaanisha hivi....km ww umeajiriwa na org yoyote hp tz lkn uko chini ya usimamizi wa branch manager nataka kujua changamoto unazokumbana nazo, most of the time branch office huwa haina wafanyakazi wengi sasa labda ule uchache wa wafanyakazi sijui ndio kitu ambacho kinawafanya hawa managers...
anastahili kwa sababu alishindana na akashinda!suala la kucopy nyimbo ya mjomba ni jengine km kulikuwa na kasoro ktk hilo asingekuwa nomineted, na kingine ni kwamba kazi za kisanii ni kuigana so sidhani km kuna tatizo ktk hilo!
Habari zenu wadau,
Hivi hawa mapersonal/hr officer/manager wanazijua? Kwanini unyanyasaji makazini bado unaendelea, kwa mfano unamkuta manager (branch manager) anaongoza wafanyakazi 3-10, anawaongoza just he/she has experience na kazi lkn hajui sheria za kazi wala mambo ya utawala.
Naomba kwa...
nijuavyo mimi zanzibar maji bure, ila umeme wananchi wanalipa(nnikiwemo mimi) na kuh elimu.............tunachangia kuanzia elimu ya msingi hadi sekondari ila zaidi ya hapo......I mean elimu ya juu unalipa.........
hahaha ni kweli jamani, mimi sio mtazamaji mzuri wa hizi movie zetu za kibongo lkn ukweli ni kwamba hizi movie ni balaa I mean ni hatari kwa maendeleo nasema hivyo cuz cjui watoto wetu wakiangalia wanajifunza nini zaidi ya kuvaa uchi, kingine ni kwamba matukio mengi yaliyomo ktk filamu hizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.