Hawawezi kwenda huko,wengi wao( kama sio wrote) wanategemea kufanya shughuli ndogondogo katikati ya mji,hususani kkoo ili kujikimu.Kuwashauri waende chalinze au msata huko hawawezi kuelewa.
Je,hujafikiria kwamba huenda Dr Slaa aliongea kwa kuzingatia uhalisia? Pengine yeye anaamini( kwa tathimini yake) kwamba possibilities ni walau upinzani kupata theluthi mmoja ya viti ya ubunge?
Mchakato wa katiba mpya tumetangaziwa na mamlaka kwamba ni baada ya elimu ya miaka mitatu.Kwa vyovyote vile katiba mpya haitarajiwi kabla ya October 2025.Kinachowezekana walau mpaka wakati huo ni minimum reform kwenye sheria za uchaguzi na tume huru ya uchaguzi.Ndiposa nikatabiri kitakachotokea...
Mkuu kwanini umekuwa na mtazamo huo.Labda tu nikuhakikishie binafsi hata Mimi ninayetabiri sifurahishwi na utabiri huu,lakini ni lazima tukubali hali halisi.
marekebisho madogo ya katiba pamoja na sheria za uchaguzi ambapo,pamoja na mambo mengine, mgombea kiti cha urais atatakiwa apate zaidi ya 50% ya kura ili kutangazwa mshindi.
(2) WAGOMBEA URAIS-:
(1)CCM - Samia Suluhu Hasan
(2)CHADEMA - Tundu Lissu
(3)ACT - Zitto Kabwe.
(3) MATOKEO YA URAIS...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.