Habari wana jamvi naomba msaada wenu/ushauri kwa mtu ambaye amewahi / antumia hizi smart phone kati ya HTC na 4n ipi ambayo iko vizur zaid kwenye access ya net hasa sehemu zenye low internet access. ntashukuru sana kma ushaur wenu utakuwa mambo mengine ya ziada kama uimara na mengineyo! karibuni.
Unampenda kitu gan acha uongo, mchezo mara moja tu umepagawa je kama angepitisha round ya pili. kwanza inaonekana hujamkosha alitegemea kapata mchezaji kumbe kanjanja, nakushaur temana naye
kama kweli unampenda kwanin usimshauri abadarike, ushauri wa bure. Kabla huja engage na mtu kila mtu amwambie mwenzake utaratibu wake wa maisha nini hutaki kufanyiwa na nini unataka ufanyiwe kabla hata ya
Mwacheni apige kazi hata kama hayuko madarakani ndo asikemee?, hata kama hawatamsikia leo ipo cku sauti yake itasikika tu. Baba piga kazi usikatishwe tamaa!
siyo kweli, ulitulia utapata Mwenza aliyetulia kinachowagharimu wengi ni kukurupuka na kupenda uzuri wa sura na kumbuka mwenza siyo bidhaa utafika na kununua ili upate unayemuhitaji unatakiwa ujiwekee utaratibu ni aina gani ya mwanamke unayemtaka baada ya hapo uwe na maandalizi yasiyopungua...
Ukae na mtu mwaka mzima alafu ndo uone hana sifa! hujukua kuwa ana mtoto?, kwanini uliamua kuishi naye? anyway lakini jaribu kutulia Kwanza sababu ikitokea akajiua mikononi mwako utawajibika mkuu
Jukwaa la Mabadiriko ya Vijna Tanzania, wamenyimwa kibali na office ya mkuu wa wilaya ya ulanga mkoani morogoro cha kufanya utafiti unaohusiana na kuigawa wilaya hiyo katika wilaya mbili. Kati ya tarehe 7 na 8 julai 2014 uongozi wa jukwaa hilo ulipeleka barua ya kuomba kibali katika ofisi ya...
Mkuu weka utaratibu kuwa, asifanye muhamala wowote I.e kukutumia pesa pasipo maelekezo ya cm alafu usipende kuwasiliana ishu za fedha kwa sms pia namba za kazi ziwe tofauti na binafsi etc
ni kati ya 23 na 24 mkuu, nilikuwa kwa babu yangu kizaa mama niitengeneza asubuhi nashukuru Mungu hakuna aliyegundua uharibifu huo na uzuri walifahamu kuw ni demu wangu maana tulijumuika naye dinner
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.