Cna cha kuongezea ila napnda kuungana alie kupa ushauri wa kwnza na ni kweli lazima uandae msingi sio kukaa na kusema kuwa nyumba yangu inapasuka kumbe msingi mbovu renta hauweki nondo ikomae sasa unakaa kulalamika nini
vp kuhusu watu wa mikoani tutapateje taarifa kuhusu haya majina ya zima moto na uokoaji maana siwaelewi na kuna mtu atakua anajua naomba anifamishe samahan lakini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.