VIWANJA, VIWANJA.
viwanja vinne vikubwa vinavyouzwa katika eneo la Turiani, Morogoro vyote vipo block b karibu na barabara kubwa,Viwanja hivi vina ukubwa wa square meter 1150, 1270, 1149, na 2478, vyote vina hati . Viwanja vimezungukwa na huduma muhimu kama maji, hospitali, na umeme.
Viwanja...
…habari nilizowahi kusikia kuhusu kijiji cha ‘madina’ zinatisha! Hata kwenye hii taarifa haijasemwa kua kuna mtoza ushuru alieuwawa na pia polisi kutoka handeni kabla ya ffu kutoka tanga ambao ndio walioweza kudhibiti hali… pengine ni UMBEA TU
Hata Kenya ni yeye !
https://www.google.com/amp/s/www.theeastafrican.co.ke/tea/business/tanzania-taifa-gas-to-set-up-plant-in-kenya-3859200%3Fview%3Dhtmlamp
Amesema kua anayo HATI inayotolewa na wizara ya ardhi na kwa maana hiyo hilo eneo LIMEPIMWA , na pia amesema kua hati iko kwa jina lake na uthibitisho ni halmashauri , kama mtu anahitaji hilo eneo aende halmashauri alipie gharama kidogo za mpima ili aende pale na vifaa kuhakiki location then...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.