Hakuna nchi mbili kwenye Nchi moja .....hata mtoto wa darasa la saba analiona hilo.Kama tunaongelea serikali ya muungano basi ni serikali tatu ( serikali ya muungano ,serikali ya zanzibar and serikali ya tanganyika) nchi moja au nchi moja serikali moja( tangayika na zanzibar zinabaki kama...
Hivi niwaulizeni kwa akili zetu kama kweli tunataka katiba bora , nchi bora , hawa watu hawa ...hawa sijjui wajumbe wasio kuwa na nidhamu kwenye hiLo bunge maalum wataweza kweli kutoa katiba iliyo bora???
Kusema ukweli nikikwasikia napata kichefu chefu. Kwa kifupi nafikiri kuna wavuta bangi...
Kwanza mimi sioni kwanini pia media inatoa kipaumbele hii habari ..kwanza yeye sio Mtanzania harisi.Ulizene wanaotoka Kigoma watakupa historia yake vizuri.
Kwani Padri alivyopigwa risasi Zanzibar au bomu kurushwa kanisani Arusha kuna mkiristo aliye andamana au kuongea holela holela kwenye mihadhara kama wanavyofanya watu wa kundi fulani?
Nahisi kuna tofauti ya upeo wa kufikiri kati ya kundi fulani na jingine
Jamani, jamani, swala hapa si CCM, CUF, CHADEMA , wala chama chochote......... tatizo hapa ni upeo wa watu sisi wananchi wenyewe na hao viongozi tuliowachagua...we should not be pointing fingers. Kumbuka kila unaponyosha kidole kimoja kwa mtu vinne vinakuangalia.. Tunahitaji kwanza kuboresha...
Dawa ni kuwafukuza wabunge wote....mchakato uanze upya kwanza wabunge wange kuwa wanaamplly hii position kama tunavyo apply kuomba kazi nyingine yoyote...ili ipatikane nafasi ya scrutinization kuanzia tabia mpaka viwango vya elimu
Ndugu Watanzania,
Mimi Binafsi ni msomi , daktrari mwenye masters degree mbili. Nimebahatika kusoma nje na ndani ya nchi. Pia nimefanikiwa kuishi nchi mbali mbali zilizoendelea.Kwanini ninatanguliza hizo statements? Najaribu kuonyesha kwamba kidogo nina uwezo wa kulinganisha siasa za nchi yetu...
Kaka naomba nikukosoe. Madaktari wa kitanzania sio kweli kwamba hawana uelewa wa fani yao...one thing I can tell you medical practice sio sawa sawa na journalism au law au political science kwamba utarefer tu kwenye vitabu na ukapiga kazi .medical practice requires technology kuanzia...
Wananchi hawachelewi kutafuta njia za kupambana na hijack na arrest za namna hiyo...si mnajua law of the jungle ....everyone looks for means to survive
Something is wrong somewhere either kuna viongozi wanafanya makusudi ili jambo la madaktari likos e solution au tuna washauri dhaifu serikalini......i cant think any other
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.