Mtoa mada inaonekana una taarifa ila huna taarifa za uhakika.Ni kweli mifuko minne pspsf,ppf,gepf na lapf zitaungana na kuwa na mfuko mmoja wa umma psssf(public service social security fund) na sio pspf kama unavyoaminisha watu.kwa hali ya pspf ss hivi haiwezi yenyewe kuwa mbadala wa lapf.Lapf...
Wanaowalalamikia maaskari wako sawa kabisa.mimi binafsi niliwahi kupanda basi la Leina tours natoka Dom naenda Moro lile basi lilikua linakimbia sana nikamwita kondakta nikamwambia akamweleze dereva.Kondakta akaenda ila wapi dereva ndo kwanza akazidisha.Bahati nzuri kwa nyuma kulikua na namba za...
Pole sana mkuu Muombe Mungu akujalie wepesi ila wazo la boarding hata mm nalikubali na huyo mtoto mdogo mpeleke kwa mama yako mzazi maana kwako itakuwa ngumu kumlea.Halafu kaa chini ujipange tena vizuri.Kwa vile umeshafunga naye ndoa omba kikao cha familia aelezwe huo upuuzi wake.Baada ya kikao...
Nimeenda TIA kuulizia kuhusu diploma maana mdogo wangu ana D na C mbili za english na History ila wamesema hawezi kusoma diploma ni hadi aanze kusoma certificate.naomba ushauri hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.