Usijaribu kufunga ndoa kabla haujawa vizuri kiuchumi, mweleze ukweli. Na kama hayupo tayari kukubaliana na wewe basi ni bora mkaachana kwani ukikubali kufunga ndoa katika hari hiyo nakupa miezi 6 tu ya ndoa, utaanza kuisoma namba.
Haohao ndugu wanaomshinikiza kuolewa ndiyo haohao wataanza...
Ndugu hivi unaelewa majukumu ya Mbunge? Wajibu wa mbunge ni kuisimamia na kuielekeza serikali nini kinatakiwa kifanyike jimboni, kutegemeana na mahitaji ya jamii [sio kujengewa nyumba binafsi, kupewa pesa ama kununuliwa pombe, nk] .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.