habari wakuu?. kuna ndugu yangu amechaguliwa moja kwa moja kutoka kidato cha nne kujiunga na masomo ya ngazi ya diploma katika chuo cha TUMBI Tabora. katika ulipaji wa ada kuna wale wa goverment na private sponsored wanalipa tofauti.
je nitajuaje kama analipiwa na serikali?. naomba mwenye...
Habari zenu Wakuu nataka kuanzisha biashara ila sina elimu yoyote kuhusiana na namna ya ulipaji wa kodi ya mapato. Kwa wenye uelewa naomba kuelimishwa kuhusiana na ulipaji wa kodi ya mapato.
Miongoni mwa maswali ninayo jiuliza ni:-
1. Ni biashara gani inayokupasa upate leseni ya biashara na...
Habari za mda huu wakuu.
Nina PC aina ya Mecer, ilikua nzima kabisa lakini kwa sasa haiwaki. Nmepeleka kwa mafundi wakanambia maybe INVIDIA ina tatizo lakini hawakufanikiwa kuitengeneza.
Je tatzo litakua nini wakuu ?
Unaruhusiwa kuanzsha uzi mwingine wenye mashujaa wa dini zingne yeye kaanzisha huu yawezekan ni kwa sababu waislam na wakristo wapo wengi katika mazingira haya kuliko hao ulowataja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.