Nangalia mechi ya azam na gwambina, vivuli vya wachezaji ni vingi mno, mchezaji mmoja anaweza kuwa na vivuli vinne, hii inahalibu ubora wa picha. Wakuu nyie mnaonaje au ni ushamba wangu
Kwenye mitandao ya Kenya hasa Twitter kuna movement inaendelea yakutaka raisi Magufuli amwachie huru huyo jamaa kutoka kizuizini.Naomba kujua huyu jamaa ni nani na alifanya kosa gani mpaka kuwekwa kizuizini miaka 6 bila ya kupelekwa mahakamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.