Uzuri na kupendwa kwa binadamu hakupo katika ubinadamu wake bali katika uzuri wa imani na matendo yake. Kwa hiyo kesho tutampima Dr. Slaa kwa imani na msimamo wake wa sasa, akikengeuka nae tunamfutilia mbali katika historia ya mabadiliko ya Taifa letu. Kesho ndo tutajua kwamba kipi ni kipaumbele...
Sio royal ni loyal wewe mtabiri wa nyota...watu wengine mnaboa, hata kiingereza chenyewe cha kuunga bado mnajidai wachambuzi wa masuala ya kisiasa!!. Wizi wa kura mwaka 2010 kila mtu anaujua, isitoshe kuna zaidi ya vijana milioni tano wanatarajiwa kuingia kwenye daftari la wapiga kura (wapiga...
Dogo unapaswa kupuuzwa tu na kusamehewa kwa sababu hujui ulitendalo.
Shida uliyonayo ni kufikiri kwa kutumia ndimi kama alivyo kaka yako LUKUVI.
Lakini itoshe kufahamu tu kwamba ulimi ni kiungo hatari mno, na ww ni mmoja wa watu wenye matumizi mabaya sana ya ulimi, na hili limeshakugharimu...
Mh. Waziri Mkuu,
Tumechoka kusikia sababu na mawazo ya hovyo kutoka kwako.
Nasema wananchi tumechoka:
"Wananchi tumesema hatutaki kufanywa wajinga; PM Pinda ukikiuka na kuendelea na ushauri wako ulio sawa na nguvu za giza utapingwa tu. Wananchi tumechoka kukuvumilia, LIWALO NA LIWE".
Ufafanuzi mzuri: Kwa kuongezea tu hiyo picha inaonyesha imepigwa 1:02 AM ambayo ni saa saba na dakika mbili usiku. Sasa hata taahira atagundua Tar na saa ya camera haiko sahihi...otherwise huyo mpuuzi TUNTEMEKE atuambie kwamba huo mkutano ulifanyika saa saba usiku..which is madness.
Hapo kwenye Bold red, Mwigulu anamaanisha nini hapa? Kwamba katiba inayotakiwa na CCM sasa itapatikana baada ya Kikwazo kuondolewa bila shuruti??!!...ni nani huyu Kikwazo? Je ni Dr. Senkoro Mvungi (R.I.P)?
Huyu Mwigulu na Nchimbi ni deadly terrorists. Nina uhakika mpaka sasa mikono yao...
Angalia unashindwa hata kutafsiri kauli...we bure kabisa!
Mawazo yako haya ni sawa na ya Kipepo..Mashetwani kama njie ni wa kukemea!
Kama kweli umeona tatizo la Kikwete ni
1. Busara zake,
2. Upole,
3. Kutoa freedom of expression,
4. Chadema na
5. Mafisadi
basi mpaka hapo wewe ndio adui wa...
Mkuu Mchambuzi,
Kimsingi nakubaliana kabisa na tafsiri yako ya matokea ya utafiti huu.
Of course, wachangiaji wengine wame-highlight mambo ya msingi ambayo yanakuwa reflected pia, mengi nakubaliana nayo. Lakini pia, napenda kuchangia jambo moja ambalo mara kadhaa linasahaulika tunapokuwa...
Mkuu pale ndio kashafanya umbayuwayu wa kuchanganya na za kwake. Ameshaona hata nchi ikiharibika hana cha kupoteza. Mwanamke asiye na mume wala watoto huwa hana uchungu wowote wala ubinadamu.
Unajua ukitaka kujua ubinadamu wa mtu muangalie usoni, the face reflects what the heart bears.
Sasa...
Input ina maana gani kwako wewe mwanamke mpumbavu?
Kuonya na kukaripia pia ni input. Sasa ukishauri serikali imuondoe waziri mwenye elimu ya kuunga asiyejua hata mipaka ya nchi yake, hiyo sio input? Wizara ya Elimu inaongozwa na mawaziri wabovu (Kawambwa kila leo anabadilishwa wizara baada ya...
Mkuu huyu sio mbeba boxi, wabeba boxi huwa wana akili timamu...Huyu mtu atakuwa anafanya kibarua cha kutunza watu wenye matatizo ya akili (taahira). Huoni akili yake nae ilivyoathirika?
Kero kwako Mlowezi, sio jamii...Jamii ipi unayoongelea wewe? Kama ni kweli CDM imekuwa kero kwa jamii basi polisi waruhusu maandamano then wananchi wenyewe wachague kushiriki ama laa!. Naona unawahusudu wageni/wawekezaji mpaka unasahau maslahi ya nchi yako.
Ila majibu yanapatikana kwa makada sio?...mbona wasifanyie kazi siku zote?. Ni mtu asiyejua maana ya uwajibikaji na umuhimu wa elimu kwenye maisha ya vijana wetu ndo anaweza kuhoji nia ya maandamano haya. Inshu hapa ni viongozi wenye dhamana wawajibike kwanza ili wapishe wenye uwezo wa kufanyia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.