kwa watanzania wa pacific northwest yaani Washington Oregon Idaho tunaifanyia kazi atakaye pata habari au fununu tufahamishane
Muta Tanzanian community
Mawazo ya Nyerere na Karume ilikuwa nimuungano wa Serikali mbili kuelekea serikali moja Sasa wazo la serikali ya tatu lililetwa na G55 nao mwalimu akawazima kwa hoja nzito Sasa kwanini tusiendlee na mawazo ya kuwa na serikali moja badala ya kuvunja muungano au kuunda serikali ya tatu...
Hamjambo ndugu zangu wa jamii forum
Yawezekana anauwania urais wa uganda ila naye uraia wake unautata kwani nafikili baba yake Amini alikuwa M Sudani na mama yake ni mnyarwanda ila yeye alizaliwa uganda sasa sijui sheria ya uganda kuhusu wagombea urais wanatakiwa kuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.