Tatizo sio uchache wa askari kwa eneo kama Inyala Bali ni mambo mengine kama
1. Ubovu wa barabara
2. Udogo wa barabara
3. Magari kuwa mengi
4. Mlima na mteremko kuwa mkali
5. Malori kuchanganywa na magari madog
N.k
Solution
Ijengwe barabara Pana ya njia nne kuanzia Ilongo Hadi Mbalizi
Pili...
Ok kaka .
Lkni kwa kifupi ukiwa unaingia mbeya ukishafika mpakani mwa wilaya mbarali na mbeya Kuna sehemu panaitwa Ilongo.
Sasa kuanzia hapo ndio mlima huanzia Hadi mlima nyoka ambapo ndio unakuwa unaingia ndani ya Jiji la mbeya .
Yaani kwa kifupi kata yote ya Inyala na Itewe ndizo zinapitiwa...
Kiukweli ilikuwa ngumu kuyajua maana Ile gari ya abiria ilikuwa inatoka mbeya kwenda njombe na kama ujuavyo polisi na Sheria zao.
Kama tu pale watu wameshuhudia vifo vingi sana lkni RPC anasema watu nane tu
Bila serikali kufanya jambo TUTAKOMA .
Barabara inatisha sana hii .
Yaani solution ni kuijenga kubwa kuanzia Ilongo Hadi Mbalizi na pili malori kuhamishwa njia Yao kwenye hii milima
Tatizo la hili eneo sio Mwendo. Tatizo ni mteremko na Mlima kuwa mkali pia ufinyu wa Barabara, barabara kuwa mbovu na zaidi barabara Ina magari mengi kuliko uwezo wake .
Inahudumia magari ya Kila namna, makubwa kwa madogo ya mizigo na ya abiria .
Yaani kwa ujumla panatakiwa hatua za haraka...
Nimekuelewa sana ndugu japokuwa niliandika ombi , pendekezo na ushauri kwa kuwa ni mwenyeji wa haya Maeneo ndio maana nimeandika kuwa wajitahidi kuhamisha malori kwa kuyajengea njia Yao kule chini itengane na hii ya njia ya Sasa.
Lkni nimekuelewa sana
Lakini nadhani Kuna kitu wanaficha, hivi kipi kigumu kumueleza ukweli rais au waziri mkuu ??!
Pili naamini rais anajua huu ukweli wa hii barabara maana spika ni mwenyeji hapa .
Kiukweli sijui naweza pata wapi namba ya raisi nimfowardie hiki Kilio maana it's too much .
Leo watu wamekufa...
Hakika, yaani ni kama wameamua watumiaji wa hii barabara hasa wenyeji wa Mbeya kuwa Mbuzi wa kafara .
Yaani umeongea points sana maana barabara ni ndogo afu Ina mzigo wa magari ya IT, malori maelfu, mabasi na magari madogo na ya kawaida . Kibaya zaidi barabara ni ndogo na ni mbovu .
Kuanzia...
Leo ukisoma na kuwasikiliza mashuhuda na sio RPC unaambiwa watu karibu 40 wengine wanasema hata 50 .
Inatisha na kuogofya sana maana haziishi siku mbili bila ajali kuanzia Shamwengo Hadi mlima nyoka
Makala hii hapa chini niliiandika Facebook mwezi wa saba baada ya ile ajali mbaya ilioua watu zaidi ya 20 pale Inyala. Bado hatujasahau na hata arobaini za waliokufa zikiwa hazijatimia leo tena wamekufa wengi zaidi chanzo kikiwa kilekile, ufinyu wa barabara, mlima na mteremko mkali, kufeli breki...
IGP Sirro ni mwongo asiyefaa kuvaa sare ya Jeshi la Polisi, let alone kuwa Mkuu wake. For the record:
1) Hajawahi kunipigia simu au kuniita kwenye mahojiano yoyote.
2) Nikiwa Nairobi Hospital niliambiwa polisi watakuja kunihoji hospitalini. Niliwasubiri lakini hawakuonekana.
3) Polisi...
Mahojiano kati ya Mhe Anthony Diallo Mwenyejiti wa CCM Mkoa wa Mwanza na Mtozi Alloyce Nyanda*
Mjadala umeleta hisia na ushahidi mpya kuhusu utawala wa JPM
1. Baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 Biashara yetu ya Star Tv ,RFA iliharibika -Diallo
2. Sie hatukulipwa na CCM , waliolipwa ni Crew...
Kuanzia 2015 mwishoni Hadi 2021 Tulipokuwa tunawaambia TIME WILL TELL mlijua tunajifunza kingereza, we tumwa ukaue, tesa watu, dhulumu watu, shadadia watesi, zarau watu, tukana watu na wafanyie mabaya yote lakini kaa ukijua hiyo nayo ni mbegu ambayo itaota tu, mvua inyeshe au jua liwake itaota...
Na Mwl Matete
Siku tatu zilizopita serikali ilitoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano na vyuo mbalimbali, kilichowastua wengi ni namna uchaguzi huo ulivyofanywa. Wazazi wengi wanalia hasa wale masikini ambao hawana uwezo wa kuwapeleka watoto wao shule binafsi...
TULIYAJUA, HATUKUYAJUA, HILI NI ZAIDI YA TATIZO.
Kesi iko mahakamani, sitaki kusema yaliyomo ya kesi hiyo. Najipa haki ya kusema jambo zima kwa ujumla wake.
Siku Rais Samia alipochukua ofisi nilipendekeza Mwongozo wa Kuongoza Kipindi cha Mpito wa awamu mbili, yaani kutoka ya 5 kwenda ya 6...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.