Nafikiri ni vizuri na wewe ukatoa sifa zako naye atakaye endana na hivyo vyako afanye maamuzi. In pyschology it is said "human beings are very complex"; that is, they can behave unexpectedly in a good or bad manner.
Ukienda kwenye li-international conference huko South Africa utafanyaje na hiyo presentation yako kwa Kichina? Utajifunza nini kutoka kwa hizo za wenzio ambazo ziko kwa Kiingereza? Utakuwa msomi uliyejitenga na wenzio!
Kwa aliyekulia na kusoma hapa Tanzania tu kuanzia kidato cha kwanza na kuendelea usomi wake utapimwa pia kwa Kiingereza pia. Ila kama kakulia nje na kusoma huko au hata bila kusoma, Kiingereza hakiwezi kutumika kupima usomi wake.
Niliwahi kumwuliza jaji mkuu wa miss Tanzania, bwana Shah, vigezo vinavyotumika kumpata mshindi na kuniambia yafuatayo: 'shape' na 'size' ya mwili, urefu kwa kimo, size ya hips, n.k. Hii ilinipa hisia kuwa mashindano haya yanaanzia kwingine - ndani ya chumba hivi bila watazamaji - na kuishia...
Bwana Prince M. Bagenda aliandika kitabu chenye kichwa cha habari "Jakaya Mrisho Kikwete: Tumaini Lililorejea" na kuchapishwa Machi 2006. Nafikiri mwaka 2011 inabidi tena aandike kingine sasa sijui kichwa cha habari kitakuwaje. Tumaini kama huyu JK tuliwahi kuwa nalo kweli baada ya uhuru?
Kwanza atuambie kwa nini anataka kugombea ubunge kwenye majimbo ambako dhahabu inachimbwa ukitoa Ubungo na huko aliko sasa. Pia alishabikia kununua mitambo ya Dowans kinyume na sheria ya manunuzi?
Nafikiri tuangalie huko kote alikopita ameachangia mazuri yapi? Kama anatetea kununua mitambo iliyotumika kinyume na sheria ya serikali ya manunuzi, atakuwa na matatizo kwa maana sheria ikimsogelea atasema ilikuwa mipya! Kwanza ule mtambo wa songas pale Ubungo ulitakiwa ujenge kule Kinyerezi...
Huyu bwana Sam aliwahi kusimamia CDA pale Dodoma na mji mpaka leo haujakaa vizuri kama ule wa Abuja ambao ramani yake naambiwa ni ya Dom. Pia amekuwa waziri wa ujenzi. Hivi alipata wapi fedha za kujenga nyumba ya ghorofa moja kule Urambo miaka ya 70/80? Ghorofa lilikuwa moja tu wilaya nzima...
Huyo bwana hana msimamo kabisa na hafai kuwa kiongozi kwa kupitia chama chochote kile. Huyu ni mmoja wa wazee watarajiwa wa DSM watakaokuwa wanaongea na marais wanatarajiwa kama Ridhiwan.
Ahadi hizo alihaidiwa yeye binafsi kama cheo vile au kwa maendeleo ya wana-Tanga na watanzania kwa ujumla? Nafikiri ahadi za kwake binafsi, kwanza kajiunga na CCM 2007 baada ya uchaguzi mkuu wa 2005. CCJ wawe waangalifu na watu hawa!
I am not very good at English. There is no better language than the other because a purpose of every language is communication. English is used as a medium of instruction from secondary to tertially level and in few schools from nursery because most of knowledge acquired via formal education is...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.