Cha msingi athibitishe hizo tuhuma kwa kutengeneza mtego......kisasi kwa kutembea na mke wa best yake will only complicate things..... Then hatua nyingine zitafuata
[KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willbroad Slaa amewataka viongozi wa dini nchini kufanya utafiti kabla ya kutoa matamko yao katika vyombo vya habari.......]
acha hizo wewe....soma habari kwa makini kabla hujachangia....kasema viongozi wote wa dini.....hii...
hiviiiiiii hapo mgonjwa anatundikiwaje drip? what if yupo mahututi na anahitaji msaada wa haraka kwenye hizo "ambulance" kuokoa maisha yake? inakuwaje hapo?
what if mama ana kifafa cha mimba au complication yoyote ya mimba au baada ya kujifungua?..... huu ni utani.........
mmmh? kuna usalama hapa? sasa si unaweza kumuua mgonjwa kabisa hapa kabla hajafika hospitali? ivi wat about remote areas zinafika kweli? kuna takwimu/reviews zozote juu ya pikipiki hizi mahali zilipotumika na ubora wake? naona ka janja ya watu hapa, pikipiki 400 vs mil 90 mkopo wa wabunge....
[.........To date, because of the good work being done by Tanzania Mineral Audit Agency, we can confidently say that things have began to change and will continue to change for the better.........]
its supposed to be ....things have begun.......
kama kweli wabunge wana uchungu na wananachi wa majimbo hayo, wakatae hizo fedha zitumike kutatua matatizo makubwa zaidi kama umeme, huduma hasa kwa wamama wajawazito AU watumie hizo fedha kuboresha hali duni na kuleta maendeleo
la sivyo watakuwa ni WANAFIKI WAKUBWA !!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.