Ni kweli leo damu yake inaweza kutharauliwa na kuonekana kuwa imemwagika bure lakini ipo siku itasema kutoka katka aridhi kama ya Abel alie uliwa na kaka yake Kaini
hii habari haija kamilika kwani ni ngetegemea alie rudishwa msukule nae ahojiwe yeye anesemaje kwa jinsi ninavyo faham mchungaji hawezi kumuita mtu msukule kama yeye sio hapo kuna tatizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.